JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: August 2023

PSSSF yajipanga kuendeleza ubora, mafao kulipwa ndani ya siku 30

Na Beatrice Sanga-MAELEZO Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umesema utaendelea kuimarisha huduma zake kwa wateja ili kuongeza ufanisi na kupunguza urasimu na muda wa malipo kwa wanufaika wa mfuko huo. Hayo yameelezwa leo August 31,…

Sekta ya Posta bado ni huduma muhimu – Waziri Nape

Na Immaculate Makilika –MAELEZO Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Nnauye amesema kuwa Sekta ya Posta ni huduma muhimu barani Afrika inayohitaji kuboreshwa zaidi ili iendeelee kutoa huduma kulingana na mazingira ya sasa. Akizungumza leo jijini…

Wizara ya ardhi yaja na mabadiliko makubwa ya kimfumo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imesema inaendelea kufanya maboresho makubwa ya kimfumo na muundo kwa lengo la kuewezesha mambo mengi ya wizara hiyo kufanyika kimfumo, Hayo yamebainishwa leo Agosti 31, 2023 na Katibu…

Rais Dk. Samia azindua tawi la 230 NMB, Kizimkazi Festival yatikisika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, jana Agosti 30, amezindua Tawi la Benki ya NMB Paje, Mkoa wa Kusini Unguja, hapa Zanzibar, uzinduzi unaoendelea kupanua mtandao wa matawi ya benki…