JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: February 2024

Rais Mstaafu Ally Hassan Mwinyi afariki dunia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Tanzania, Ally Hassan Mwinyi (98), amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mzena jini Dar ea Salaam. Akitangaza msiba huo jioni ya leo Februari 29, 2024 Rais wa…

BRELA, TMDA kuimarisha ushirikiano

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) leo Februari 29, 2024 wamekutana kwa ajili ya kujadiliana kuhusu mashirikiano baina ya Taasisi hizo mbili ili…

Biteko : Utamaduni na utu wa Mtanzania usidhalilishwe

📌 Awapongeza Wasanii kwa kutopuuza utamaduni wa Mtanzania 📌 Ampongeza Dkt. Samia kwa kuufufua Mfuko wa Utamaduni 📌 Ataka Wasanii kuhamasisha Uchaguzi wa Serikali za Mitaa Na Mwandishinl Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati,…

Mto wenye maji meupe, kivutio cha utalii Hifadhi ya Katavi

Na Alex Kazenga, JamhuriMedia, Katavi Utalii wa kuvua samaki (spot fishing) katika mto Ndido wenye maji yanayoonyesha hadi samaki, mawe na wadudu walioko ndani ya maji katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi ni kivutio kizuri kwa watalii, achilia mbali utalii…

Mageuzi sekta ya afya Tanzania yaikuna Kenya

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Mageuzi makubwa yaliyofanyika kwenye sekta ya Afya nchini kupitia Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan yameivutia Serikali ya Jimbo la Kilifi kutoka Kenya ambao wamefika kujifunza namna…

Mbunge wa Kenya : Msikubali kauli ya vijana kuwa ni viongozi wa kesho

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mbunge kutoka Embakasi Mashariki ya Kenya Paul Owino (Babu Owino) amewashauri Ngome ya Vijana chama cha ACT Wazalendo waikanushe kauli ya kuwa wao viongozi wa kesho bali waamini kuwa wao ni wa leo…