JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Rais Samia awahimiza wananchi Namtumbo kuchagua viongozi Serikali ya Mtaa wenye sifa

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Namtumbo Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameendelea kuwahimiza wananchi kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa,wenyeviti wa vitongoji ,wenyeviti wa vijiji na kamati zao wakachague wale wenye sifa na wale wenye…

Mramba azikaribisha Kampuni za Uingereza kuwekeza kwenye nishati jadidifu

📌 Asema Serikali imeamua Gridi iwe na umeme mwingi unaotokana na Nishati Jadidifu 📌 Asisitiza Tanzania kuendana na mipango ya Dunia ya uzalishaji umeme kwa kutumia nishati safi 📌 Uingereza yaipa Tanzania Kipaumbele katika uwekezaji Katibu Mkuu wa Wizara ya…

Kikwete apokea msaada wa vifaa tiba na madawati NMB

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Aziita sekta binafsi kushirikiana na serikali kutatua changamoto za wananchi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo…

Serikali Zanzibar kujenga uwanja mkubwa michezo utakaokubalika na FIFA, CAF

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema inajipanga kujenga uwanja mkubwa wa michezo utakaokuwa na vigezo vinavyokubalika na Shirikisho la Soka Duniani FIFA pamoja na Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti…