Year: 2024
Naibu Waziri Kigahe azindua Maonyesho ya Nishati Dar
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Pazia la maonyesho rasmi ya nishati kwa mwaka 2024 yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaa ambapo yanakuwa ni maonyesho ya nane tangu yalipofanyika kwa mara ya kwanza mwaka 2017. Hafla ya ufunguzi…
Ligi ya Wavu kurejea Septemba 27
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha Mpira wa Wavu nchini (TAVA) limetangaza rasmi kurejea kwa mzunguko wa pili wa Ligi ya Mpira wa Wavu nchini. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari leo Septemba 25 Mwenyekiti wa…
Kapombe afunguka alichoambiwa na Mabululu
Na Isri MohamedBeki wa kulia wa Simba, Shomari Kapombe amesema sababu zilizomfanya mshambuliaji wa Al Ahly Tripoli, Agostinho Cristóvão Paciência ‘Mabululu’ kumkimbilia na kumshika mkono ni kumpongeza kwa kazi kubwa aliyoifanya ya kuzuia mashambulizi yao. Mabululu alionekana akizungumza na Kapombe…
JKCI yaendelea kuwa kivutio utalii tiba Afrika
Madaktari wake waitwa Zambia kufanya upasuaji wa moyo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan kwenye sekta ya afya umeendelea kuipaisha Tanzania ambapo sasa madakati bingwa wanne wa Taasisi ya Moyo ya…