Year: 2024
Samia afungua jengo la Halmashauri ya Mbinga Vijijini, awapongeza viongozi kwa usimamizi
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Mbinga Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan ameridhishwa na ujenzi wa Jengo la kisasa la ghorofa moja la Halmashauri ya wilaya ya Mbinga ambalo limejengwa kwa shilingi bilioni 3.3 hadi kukamilika kwake….
Dk Biteko azitaa wizara, taasisi na wakala serikalini kutenga bajeti ya kutosha SHIMIWI
Asema sio wakati wa kutoa visingizio Wasiotuma washiriki watakiwa kujieleza SHIMIWI yalia na kushuka idadi ya vilabu vinavyoshiriki Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Wizara, Taasisi, Mashirika, wakala za Serikali zimetakiwa kutenga Bajeti ya kutosha kwa ajili…
REA kusambaza umeme vitongoji 135 mkoani Pwani, Kunenge amshukuru Rais Samia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WAKALA wa Nishati Vijijini (REA) umeanza usambazaji wa umeme katika vitongoji awamu ya pili (HEP II) ambapo utapeleka umeme kwenye vitongoji 135 kwenye majimbo tisa, mkoani Pwani kwa gharama ya sh.bilioni 14.983.7. Mradi huu utafikia…
Bilioni 15 kusambaza umeme vitongojini Pwani
📌VITONGOJI 135 NDANI YA MAJIMBO 9 KUNUFAIKA 📌RC PWANI AMSHUKURU RAIS SAMIA Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwanni Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Abubakar Kunenge amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Shilingi…
Ruto ataka dunia iwekeze kwenye nishati salama Afrika
Viongozi wa dunia wametoa wito wa uwekezaji mkubwa zaidi kwenye nishati jadidifu ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza kwenye mkutano wa kilele wa nishati jadidifu siku ya Jumanne (Septemba 24), Rais William Ruto wa Kenya alisema ulimwengu…