JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Ofisi ya Makamu wa Rais yasajili miradi 9,061 ikiwemo ya hifadhi ya mazingira

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imesema imesajili miradi zaidi ya 9,061 ikiwemo ya hifadhi ya mazingira yenye thamani ya zaidi ya shilingi trilioni 37.55. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano…

Mkuu wa chuo Kikuu Huria akanusha kuvuja kwa mitihani, 17 wadakwa wakijifanya wanafunzi

Na Jumanne Magazi, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa Chuo Kikuu Huria (OUT), Profesa Elifasi Bisanda amekanusha kuvuja kwa mitihani na kuwepo kwa vitendo vya udanganyifu wakati wa mitihani cmya muhula uliopita. Aidha pia ameonya kwa wale wote wenye nia…

Serikali yakunwa na Fema kusaidia kupunguza ukatili kwa makundi balehe

Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato SERIKALI imezitaka taasisi zisizokuwa za kiserikali kuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia, rushwa, ngono, dawa za kulevya, mauaji pamoja na mimba za utotoni hasa kwa kundi balehe. Hatua hiyo inatokana…

Polisi Rukwa yamshikilia Anifa kwa tuhuma za kumtupa mtoto chooni baada ya kujifungua

Na Israel Mwaisaka, JamhuriMedia, Rukwa Jeshi la Polisi mkoani Rukwa linamshikilia mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Anifa Mwanawima (36) mkazi wa Kijiji Cha Mashete wilayani Nkasi Kwa kosa la kumtupa mtoto wake chooni baada ya kujifungua. Kwa mujibu wa…

Jaji Feleshi azindua Kliniki ya Ushauri, Elimu ya Sheria kwa Umma Dodoma

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi amezindua Kliniki ya Ushauri na elimu ya Sheria kwa Umma inayokusudia kusogeza huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi ili kupunguza migogoro dhidi ya Serikali na kupata…

Rais wa Kenya akabiliwa na wakati mgumu baada ya siku ya umwagaji damu

Baada ya siku ya maandamano, ghasia na umwagaji damu, Rais wa Kenya William Ruto alihutubia taifa kwa ujumbe wa huzuni na wenye nguvu. Akisema maandamano “halali” dhidi ya sera zake “yametekwa nyara na kundi la wahalifu waliopangwa,” alionya serikali yake…