Year: 2024
Ziara ya Rais Samia Korea kuivusha Tanzania
Na Deodatus Balile, Seoul,Korea “Ukijumulisha dola bilioni 6.4 za Uturuki, ukaongeza angalau dola milioni 500 zitakazotokana na Nishati Safi ya Kupikia za Ufaransa kati ya hizo dola bilioni 2.2 zilizochangwa, ukaweka dola bilioni 2.5 za Korea Kusini, ni wazi katika…
Mwendelezo wa Rais Samia kutunukiwa shahada za heshima ni kiashiria cha kutambua kazi zake
Imeelezwa kuwa mwendelezo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kutunukiwa shahada za heshima za falsafa na vyuo vyenye hadhi ya juu duniani ni kiashiria cha kutambua kazi kubwa inayofanywa na Mwanadiplomasia huyo namba moja nchini….
Wanawake tujitume tuondokane na zama kutegemea ili kujiinua kimaendeleo – Msimbe
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia Kibaha MWENYEKITI wa kikundi cha wanawake cha Generation Queens (MWANAMKE SAHIHI FETE) mkoani Pwani, Betty Msimbe amewaasa wanawake kuendelea kujituma ili kujikomboa kimaisha na kuondokana na zama za utegemezi. Akitoa rai baada ya kutoa tuzo ya…
Rais Samia akutana na mwanamuziki maarufu Korea, yupo kwenye fani kwa miaka 50
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na mwanammuziki maarufu nchini Korea, Cho Yong-pil ikiwa ni sehemu ya mikakati ya kutangaza vivutio vya utalii. Bw. Cho ambaye yupo katika fani ya mziki kwa zaidi ya…