Year: 2024
Madakari bingwa mama Samia 45 wapiga kambi Pwani kutoa huduma kwa wananchi
Na Mwamvua Mwinyi, JammhuriMedia,Pwani MADAKTARI Bingwa wa mama Samia 45 wamepiga kambi Mkoani Pwani ,kwa siku tano ili kutoa huduma za afya za kibobezi kwa magonjwa mbalimbali ikiwemo ya njia ya uzazi na watoto. Aidha watatoa huduma kwa wagonjwa ya…
Wabunge waipa tano Serikali kwa kutangaza utalii na kuongeza idadi ya wageni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma¹ Baadhi ya wabunge wamepongeza juhudi za Serikali katika kutangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini hasa kupitia filamu ya Tanznaia the Royal Tour na amaizing Tanzania iliyozinduliwa hivi karibuni nchini China. Akichangia mjadala wa bajeti ya…
Majaliwa awataka wakazi Geita kuchangamkia fursa za uvuvi
Na Daniel Limbe, JamhuriMwsia,Chato WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Kassim Majaliwa, amewataka wakazi wa mkoa wa Geita kujikita kwenye sekta ya uvuvi ili kuongeza ajira na kuinua vipato vyao. Aidha amesema Serikali ya Awamu ya Sita imejikita kusogeza…
Wanaume B/MULO hatarini matumizi ya viagra
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia,Biharamulo MATUMIZI mabaya ya dawa za kutibu ugonjwa wa shinikizo la damu(Viagra) unatishia ongezeko la vifo vya wanaume wilayani Biharamulo mkoani Kagera kutokana na baadhi ya watu kuzitumia holela kwa imani za kuongeza nguvu za kuhimili tendo…
DAWASA yafunga mita 150 za malipo ya kabla Dar na Pwani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) inaendelea na zoezi la ufungaji wa mita za malipo ya kabla (prepaid meters) kwenye maeneo mbalimbali hadi kufikia Mei 31,2024 jumla ya…
Dk Mwigulu, Waziri Aweso na mbunge Cherehani washuhudia utiaji saini mradi wa maji ziwa Victoria wa bil.44 Ushetu
Na Mathias Canal, Ushetu, JamhuriMedia, Kahama Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba, Waziri wa Maji Mhe Juma Aweso na Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe Emmanuel Cherehani wameshuhudia utiaji saini mradi mkubwa wa Bilioni 44 wa maji ya ziwa…