Makamu wa Rais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Kumbukizi ya Miaka Mitano ya Kifo cha Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, itakayofanyika kesho tarehe 17 Machi 2026 Chato mkoani Geita.







