JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Hospitali ya Rufaa Mbeya yanufaika na msaada wa FCC

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbeya TUME ya Ushindani (FCC) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini imeadhimisha Wiki ya Haki za Mlaji Duniani kwa kutoa msaada wa vifaa tiba katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya, ikiwa ni sehemu ya kuunga…

Dkt Mwigulu: Lipeni kabla ya kutwaa maeneo ya wananchi

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameziagiza Wizara za Kisekta, Taasisi na Mamlaka za Serika za Mitaa zihakikishe zinalipa fidia kwa wananchi wanaopisha maeneo kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Serikali kabla ya kutwaliwa kwa maeneo yao kwa kuzingatia taratibu…

Yapitisha maazimio 15 kuendeleza matumizi ya AI na kuhamasisha ubunifu

Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), kupitia Kamisheni ya Sayansi na Teknolojia ya Jumuiya hiyo (EASTECO), kwa kushirikiana na Baraza la Vyuo Vikuu la Afrika Mashariki (IUCEA) na wadau wa maendeleo, imetoa motisha ya kifedha kwa vijana wabunifu kama njia mojawapo…

LATRA yaonya upandishaji nauli, yaitisha kikao cha wadau haraka

Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Kibaha WAKATI bei ya mafuta ikipanda zaidi kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania, Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA), umewasihi wasafirishaji na wamiliki wa vyombo vya usafiri kutopandisha nauli. Mbali ya kuwasihi hivyo,…

CCM yatoa pole kifo cha Rais Mstaafu wa Algeria

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (SUKI), Rabia Abdalla Hamid amewasilisha salamu za pole za Chama kwa Algeria, kutokana na kifo cha Rais Mstaafu wa nchi hiyo, Liamine Zeroual….