Author: Jamhuri
Korea Kaskazini na China zaimarisha ushirikiano wa kimkakati
China imetuma ujumbe wake wa ngazi za juu kwa majadiliano ya kuimarisha uhusiano na mshirika wake wa muda mrefu, Korea Kaskazini. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Kikomunisti cha China, Wang Huning, amefanya mazungumzo mjini Pyongyang na ofisa mkuu…
Marekani yaanzisha mashambulizi mapya dhidi ya Iran
Marekani imesema imeanzisha wimbi jipya la mashambulizi dhidi ya Iran ikiwa ni usiku wa tano mfululizo, huku Rais Donald Trump akiionya Tehran kwamba “ni vyema ikaishi kwa nidhamu”. Jeshi la Marekani limesema mashambulizi hayo yalilenga uwezo wa kijeshi wa Iran…
Zelensky afanya mabadiliko makubwa ya Baraza la Mawaziri
Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine amempendekeza mkuu wa shirika la nishati la serikali la Naftogaz, Sergii Koretskyi, kuwa Waziri Mkuu mpya wa nchi hiyo. Pendekezo hilo tayari limewasilishwa bungeni ambapo kura inatarajiwa kupigwa mapema leo Alkhamis, kufuatia kujiuzulu kwa Waziri…
TANESCO yabaini huduma ya umeme ni ya uhakika jengo la kituo cha mabasi Mwenge
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limebaini kuwa huduma ya umeme katika Jengo la Kituo cha Mabasi cha Mwenge inaendelea kuwa ya uhakika baada ya kufanya ukaguzi wa miundombinu kufuatia taarifa zilizosambaa zikidai kuwepo kwa…
Serikali kuendelea kuboresha huduma za maji safi na salama
Na. Asia Singano, WF- TCHAD Serikali ya Tanzania imedhamiria kuhakikisha kuwa Wananchi wa Tanzania wanapata huduma za msingi za maji safi na salama kwakuwa maji ni kichocheo muhimu cha mabadiliko ya uchumi na ni muhimu kwa ufanisi wa kilimo, viwanda,…
Umeme kubadilisha maisha ya wananchi vitongojini
Serikali imedhamiria kubadilisha maisha ya wananchi vitongojini kupitia usambazaji wa umeme unaotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) na wananchi wamehimizwa kuchangamkia kuunganishiwa umeme kwenye vitongoji vilivyofikiwa. Hayo yamesemwa Julai 15, 2026 na Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB),…





