JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mmuya azindua jengo la milioni 35/- Ruangwa, wananchi waondolewa kero ya kukesha hospitali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruangwa Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kaspar Mmuya, amezindua rasmi jengo la kupumzikia ndugu wa wagonjwa katika Hospitali ya Wilaya ya Ruangwa, mradi uliogharimu…

Viongozi wa vitongoji na vijiji watakaokutwa na mashamba ya bangi kufyeka wenyewe

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imeteketeza hekari 3,117.9 za mashamba ya bangi na kukamata watuhumiwa 12 katika operesheni maalum ya siku 16 iliyofanyika katika vijiji vinne vya Kata ya Kandawale na Kipatimo, Wilaya ya Kilwa,…

Asante Rais Samia kwa kusimamia Katiba mpya

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wiki hii mjadala wa Katiba Mpya umepata afya mpya baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kukutana na vyama 18 vya siasa nchini. Mkutano huu, ukiuangalia kwa umakini, ni mwendelezo wa njia aliyoahidi kuifuata…

Rais Samia: Kulinda amani ni kulinda uwekezaji na ajira

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kulinda amani na utulivu, akisisitiza kuwa ndiyo msingi wa uwekezaji, ajira na ukuaji wa uchumi. Rais Dkt. Samia ametoa wito huo leo Ikulu, jijini Dar es…

ORCI na MNH waunganisha nguvu kuimarisha huduma za Saratani nchini

Na Mwandishi Maalumu- Dar es Salaam Katika hatua muhimu ya kuimarisha mapambano dhidi ya saratani nchini wataalamu wa afya kutoka Taasisi ya Saratani Ocean Road (ORCI) na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wamekutana jijini Dar es Salaam kuweka mikakati madhubuti…