JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dk Akwilapo : Ingieni katika dunia ya kazi kwa moyo wa uadilifu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tabora Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Dkt Leonard Akwilapo amewataka wahitimu wa chuo cha ardhi Tabora (ARITA) kuingia kwenye dunia ya kazi kwa moyo wa uadilifu, uzalendo na ubunifu. Amesema, Taifa linawategemea…

DC Mpogolo amewataka madiwani Ilala kushirikiana na wenyeviti wa mitaa

Na Heri Shaaban, JamhuriMedia, IIala MKUU wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo, amewataka Madiwani wa Halmashauri ya jiji la Dar es Salaam, kufanya kazi kwa kushirikiana na Watendaji na Wenyeviti wa Serikali za mitaa katika kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wananchi…

Livembe: Mchakato wa uchaguzi ulikuwa wa haki na halali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), Hamis Livembe, amesema mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa jumuiya hiyo uliomalizika hivi karibuni ulikuwa wa haki, halali na uliozingatia taratibu zote, akikanusha madai kwamba uongozi…

Simbachawane- Vitambulisho vya NIDA kuunganishwa na huduma nyingine

Na Mwamvua Mwinyi, JakhuriMedia, Kibaha Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema Mkoa wa Pwani unakua kwa kasi kiuchumi, akisisitiza kuwa maendeleo hayo yanapaswa kuwanufaisha wananchi wazawa katika sekta za uzalishaji na ajira. Simbachawene alitoa kauli hiyo…

Pwani yaweka mkakati kuacha tabasamu kwa wananchi ndani ya siku 100 za rais

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkoa wa Pwani umejipanga kuhakikisha wananchi wa mkoa huo wananufaika moja kwa moja na utekelezaji wa ahadi za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ndani ya siku 100, kwa lengo la kuacha tabasamu na kuboresha huduma…