Author: Jamhuri
Naibu Waziri Chande avutiwa na mafanikio ya TADB kwenye kilimo
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Hamad Chande, ametembelea banda la Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini Dodoma na kupongeza mchango wa benki hiyo katika kuchochea maendeleo ya sekta ya kilimo nchini….
Sangu: Serikali inatambua mchango wa wazee
Na OWM (KAM), Lindi Serikali imesema itaendelea kutambua na kuthamini mchango wa wazee katika kujenga jamii yenye amani, umoja na mshikamano wa kitaifa. Amesema hayo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano) Deus Sangu alipokutana na…
ADEM yaongoza mageuzi ya elimu, viongozi 31,000 wajengewa uwezo
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Zaidi ya viongozi 31,000 wa sekta ya elimu nchini wamejengewa uwezo kupitia mafunzo ya uongozi na usimamizi yanayotolewa na Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM), huku zaidi ya Sh. bilioni 16 zikiwekezwa katika…
TBS Yahimiza Wajasiriamali Kuthibitisha Ubora wa Bidhaa zao Arusha
SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limehimiza wajasiriamali kuchangamkia fursa ya kuthibitisha ubora wa bidhaa wanaozalisha bure kwa gharama za Serikali, hatua ambayo itawasaidia kuondokana na vikwazo vya kiabiashara. Mbali na wito huo kwa wajasiriamali, shirika hilo limewataka wananchi kuhakikisha wananunua…
WMA yawafundisha watoto vipimo, Naibu Waziri Maliasili apongeza
Na WMA – Dodoma Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamad Chande, amefurahishwa na uelewa mkubwa ulioonyeshwa na wanafunzi waliopata elimu ya vipimo katika banda la Wakala wa Vipimo – (WMA), kwenye Maonesho ya 33 ya Wakulima Nane Nane. Akizungumza…
Kilimo ikolojia hai chapewa msukumo mpya, wadau wataka wakulima waachane na utegemezi wa kemikali
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wakulima nchini wametakiwa kuongeza matumizi ya mbolea, viuatilifu na mbegu za asili kama njia ya kuongeza tija ya uzalishaji, kupunguza gharama za kilimo na kulinda afya ya walaji pamoja na mazingira, huku Serikali ikiendelea kuweka…





