JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Basi la Abood lagongana uso kwa uso la lori

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kagera limethibitisha kutokea kwa ajali mbaya ya barabarani iliyohusisha basi la abiria na lori, na kusababisha kifo cha mtu mmoja pamoja na kujeruhi watu sita. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa…

Kichwa cha marehemu Temba chapatikana Kitunda Dar, uchunguzi wa kisayansi wafanikisha

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewakamata watu watano, akiwemo mganga wa kienyeji anayejulikana kwa jina la Saidi Ally ‘Side’ Mzigua (31), kuhusiana na mauaji ya aliyekuwa mwanafunzi wa Taasisi ya Usimamizi…

Watoa ushuhuda upasuaji ulivyosaidia kupungua uzito

….Mmoja apungua kutoka kilo 148 mpaka kilo 108 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam HOSPITALI ya Shifaa ya Kinondoni Dar es Salaam imewafanyia upasuaji wa kupunguza uzito ambao umekuwa wa wenye mafanikio kwa kutumia tundu dogo watu 20 waliokuwa…

IMF yaipongeza Tanzania kwa kuimarisha uchumi, yakubali kutoa zaidi ya dola milioni 375

Na Joseph Mahumi, WF, Dar es Salaam Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Serikali ya Tanzania zimefikia makubaliano ya ngazi ya wataalamu kuhusu ukamilishaji wa tathmini za mwisho za Mpango wa Extended Credit Facility-(ECF), inayohusisha upatikanaji wa mkopo nafuu…

Tanzania yatoa somo kwa nchi za SADC kuhusu usimamizi wa maafa

Na Mwandishi Wetu, Zimbabwe Tanzania imeendelea kung’ara katika ukanda wa Kusini mwa Afrika baada ya kutajwa kuwa miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa mifumo madhubuti ya usimamizi wa maafa, hatua inayozifanya nchi nyingine wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika…

TMA yaimarisha huduma za hali ya hewa, viwanja vya ndege Mpanda, Pemba vyanufaika

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imeendelea kuimarisha utoaji na udhibiti wa huduma za hali ya hewa nchini kwa lengo la kuongeza usalama, ufanisi na maendeleo katika sekta mbalimbali, ikiwemo usafiri wa…