JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Bodi ya REA yaridhishwa na kasi ya miradi ya umeme mwambao wa ziwa Nyasa

📌 Yapongeza REA na SUMA JKT kwa utekelezaji thabiti 📌 Bilioni 3.2 kukamilisha miradi Ludewa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ludewa Bodi ya Nishati Vijijini (REB) imeeleza kuridhishwa na kasi na ubora wa utekelezaji wa miradi ya usambazaji umeme katika maeneo…

Zao la choroko laleta neema kwa wakulima Tabora

   Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora CHAMA Kikuu cha Ushirika wa Wakulima (IGEMBEMBENSABO) kimeeleza kufurahishwa na mafanikio makubwa waliyopata wakulima wa zao la choroko na mazao mengine katika msimu uliopita na matarajio yao makubwa msimu huu. Meneja Mkuu wa Chama hicho…

Mtanzania Lilian Kafiti ang’ara Afrika Mashariki, ateuliwa kuongoza mapambano ya Rushwa Kikanda

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kampala Katika hatua inayoashiria kuimarika kwa nafasi ya Tanzania katika vita dhidi ya rushwa barani Afrika, Mtanzania Bi.Lilian William Kafiti amechaguliwa kuwa Katibu Mtendaji wa Umoja wa Mamlaka za Kupambana Rushwa za Afrika Mashariki,(EAAACA) taasisi ambacho…

Nyamka : Viongozi ngazi ya chini watakiwa kuwafikia na kuwahudumia wananchi

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kibaha Mjini, Mwalimu Mwajuma Nyamka, ametoa wito kwa viongozi wa Serikali za Mitaa na chama ngazi ya chini kuwafikia wananchi, kuwahudumia pamoja na kuwapa taarifa kuhusu mipango ya serikali…

Mwenyekiti CCM Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu Dar

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha siku mbili cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kinachokutana  Jijini Dar Es Salaam leo Jumanne…

Serikali yamwaga mil.100/- yapunguza msongamano Hospitali ya Jiji Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali imetoa Sh milioni 100 kwa ajili ya ununuzi wa bidhaa za afya ikiwemo dawa na vifaa tiba pamoja na vitendanishi kuhakikisha huduma zinatolewa kwa ufanisi Zaidi. Hayo yameelezwa na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya…