JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

CRDB Al Barakah Sukuk yavutia zaidi ya wawekezaji 1,000 kukusanya shilingi bilioni 125.4 na dola milioni 32.3

*Ni mafanikio ya asilimia 646 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Benki ya CRDB imetangaza mafanikio ya kihistoria pamoja na kuiorodhesha rasmi hatifungani yake inayofuata misingi ya sharia ya dini ya Kiislamu ‘CRDB Al Barakah Sukuk’ katika Soko la Hisa…

Serikali kupanua uwekezaji wa viwanda vya dawa na vifaa tiba

Serikali kupitia Wizara ya Afya imedhamiria kuendelea kufungua milango zaidi ya uwekezaji wa viwanda vya dawa na vifaa tiba nchini ili kuongeza uzalishaji wa bidhaa za afya na kupanua soko ndani na nje ya Tanzania. Kauli hiyo ilitolewa na Waziri…

Jenista Mhagama amkabidhi nyaraka Waziri Mchengerwa

Na WAF, Dodoma Waziri wa Afya Mhe. Mohamed Mchengerwa leo Novemba 19, 2025 amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama. Tukio la makabidhiano ya ofisi limefanyika katika Ofisi za Wizara ya Afya Mtumba, Jijini Dodoma. Waziri…

TPC Ltd yawekeza bilioni 130 /-kuongeza thamani ya mazao ya kilimo

Na Mwandishi wa OMH, Moshi Kampuni ya TPC Limited imeingia katika hatua mpya ya mageuzi ya kiuchumi kufuatia uzinduzi wa mradi wa kimkakati unaolenga kuongeza thamani ya mazao ya kilimo, kupanua wigo wa viwanda na kuhamasisha ukuaji wa uchumi wa…

Waziri Ndejembi azungumza na menejimenti ya wizara hiyo

WAZIRI wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi akizungumza na Menejimenti ya Wizara pamoja na Wakuu wa Taasisi zilizopo chini ya Wizara ya Nishati mara baada ya uapisho uliofanyika Novemba 18, 2025. Kikao hicho kimefanyika Makao Makuu ya Wizara ya Nishati katika…