JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kwagilwa awataka watumishi wa umma kuheshimu na kuzingatia muda wa kazi

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) anayeshughulikia Elimu, Mhe. Reuben Kwagilwa, amewataka watumishi wote walio chini ya Ofisi hiyo kuripoti kazini saa 1:30 asubuhi na kutekeleza majukumu yao hadi saa 9:30 alasiri…

Wanne wajitosa kuwania nafasi ya umeya Manispaa ya Mji Kibaha

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Diwani Mteule wa Kata ya Pangani, John Katele, ni miongoni mwa madiwani wanne waliojitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi ya Meya wa Manispaa ya Kibaha, mkoani Pwani kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Wengine waliopata fomu…

Mkakati wa matumizi nishati safi ya kupikia kuleta mabadiliko

Na Mwandishi Wetu IMEELEZWA kuwa Mkakati wa Taifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia umeendelea kuleta matokeo chanya katika maeneo ya masoko kwa wafanyabiashara wa soko la Samaki Feri kubadili mifumo yao ya kupikia kutoka kwenye kuni na mkaa…

Dk Mwigulu : Watendaji Serikali tekelezeni majukumu yenu ipasavyo

*Asema lengo ni kuhakikisha uchumi wa Taifa unaendelea kukua WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesisitiza kuwa Tanzania haiwezi kujenga uchumi wa kati endapo baadhi ya watendaji hawatekelezi wajibu wao ipasavyo.  Ameyasema hayo Novemba 21, 2025 wakati wa mkutano wa hadhara…

ELAF yaonya kauli za udini, yasema zina athari kwa Taifa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya Everlasting Legal Aid Foundation (ELAF) imetoa onyo kwa jamii kuhusu kuongezeka kwa kauli za udini ambazo zimeanza kujitokeza mara baada ya Uchaguzi Mkuu, ikisema mwelekeo huo unaweza kuleta athari kubwa kwa…