Author: Jamhuri
Simbachawene : Mabadiliko makubwa kuligusa Jeshi la Polisi
*Taratibu za ukamataji mtuhumiwa kurekebishwa Na Mwandishi Wetu, Dodoma Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ameweka wazi maelekezo aliyoagizwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ambayo yanaenda kugusa Jeshi la Polisi…
Mwakinyo amchapa Mnigeria kwa KO
Bondia wa Kimataifa Mtanzania, Hassan Mwakinyo amefanikiwa kuibuka mshindi wa pambano lake dhidi ya mpinzani wake Mnigeria, Stanley Eribo katika raundi ya pili tu. Katika pambano hilo lililopigwa katika dimba la Warehouse Masaki, Dar es Salaam ambako zimepigwa ngumi haswa,…
‘Kituo cha kupoza umeme Handeni kuleta mapinduzi ya uwekezaji’
Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Salum Nyamwese, ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo cha kupooza umeme (substation) cha Handeni mkoani Tanga, unaolenga kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika kwa wakazi na wawekezaji wa wilaya hiyo….
Watumia jina la Mchengerwa kuomba michango ya harusi kitapeli
Wizara ya Afya imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu wenye nia ovu ambao wamekuwa wakitumia jina la Waziri wa Afya, Mohamed Omary Mchengerwa kuwatapeli watu kwamba anaozesha mwanae, hivyo kuwaomba michango ya harusi ya mtoto wa Mhe. Mchengerwa. Tunapenda…
Mke wa mchungaji ajinyonga hadi kufa, chanzo chadaiwa kuwa ni madeni
Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Joyce Baton Mwasumbi mkazi wa Kijiji cha Kanazi wilayani Nkasi mkoani Rukwa amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia kanga chumbani kwake. Akizungumzia tukio hilo Mwenyekiti wa Kijiji Cha Kanazi Rudis Ulaya amesema kuwa tukio…





