JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Rais Samia ateta na mzee Joseph Sinde Warioba Ikulu Magogoni

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Jaji Joseph Sinde Warioba mara baada ya mazungumzo yao, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 17 Desemba, 2025.

Indonesia yaahidi kumaliza msaada wa kukamilisha ukarabati kituo cha mafunzo ya wakulima

Serikali ya Indonesia imeahidi kutimiza ahadi yake ya kumalizia utoaji wa kiasi cha fedha za msaada kilichosalia kwa ajili ya kukamilisha ukarabati wa Kituo cha Mafunzo ya Wakulima Vijijini (FARTC) kilichopo Mikindo mkoani Morogoro. Ahadi hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa…

Makamu wa Rais amwakilisha Rais Samia mkutano wa dharura wa SADC

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Wanachama wa…

Waziri Mchengerwa aongoza ujumbe wa Tanzania uzinduzi wa mkutano wa pili wa duniani tiba asili

Na John Mapepele, New Delhi Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa leo ameuongoza ujumbe wa Serikali ya Tanzania katika uzinduzi wa Mkutano wa pili wa dunia wa Tiba Asili unaoratibiwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kwenye ukumbi wa…

Viongozi waliochochea migogoro ya ardhi Lupunga kikaangoni- Kunenge

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa (RAS) na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha kufuatilia na kuwachukulia hatua viongozi wote waliojihusisha kuchochea migogoro ya ardhi katika eneo la Lupunga, Kikongo,…