Author: Jamhuri
TPA kinara tuzo za NBAA kwa mashirika ya umma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeibuka mshindi wa kwanza wa tuzo ya umahiri katika uandaaji bora wa hesabu za fedha kwa kuzingatia viwango vya uandaaji hesabu vya kimataifa (IFRS) katika tuzo…
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma atangaza siku tatu za kuombea amani
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amewataka wananchi na viongozi wa dini kuyaweka mbele maombi na kutimiza wajibu wao katika kulinda amani, hasa katika kipindi hiki ambacho kumekuwa na taarifa za uwezekano wa machafuko siku ya…
RC Kunenge asitisha matumizi ya maji mto Ruvu kwa kilimo
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mheshimiwa Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima wanaotumia maji ya Mto Ruvu kwa shughuli za kilimo kusitisha matumizi hayo kwa muda hadi mvua zitakapoanza kunyesha kwa wingi. Wito huo umetolewa…
RPC Morcase- Tumekamata jumla ya makosa 74,446 ya usalama barabarani, faini bilioni 2.2
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani JESHI la Polisi mkoani Pwani, kupitia kitengo cha usalama barabarani, limekamata jumla ya makosa 74,446 ya usalama barabarani na kukusanya faini za papo kwa papo zenye thamani ya Sh. bilioni 2.233. Aidha, jeshi hilo, kupitia Kitengo…
Ofisi ya Msajili wa Hazina yatwaa tuzo ya uandaaji bora wa taarifa za fedha
Na Mwandishi wa OMH Dar es Salaam. Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH) imeibuka Mshindi wa Pili – tuzo za Uandaaji Bora wa Taarifa za Fedha 2024 (Kundi la Idara za Serikali Zinazojitegemea) kutoka Bodi ya Taifa ya Wahasibu na…
Rc Manyara akagua miradi, asikiliza kero na kuzitatua Hanang’
Na Ruth Kyelula, Manyara Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amefanya ziara ya ukaguzi wa muradi, kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua, ambapo ameanza ziara yake hiyo ya Kata kwa Kata, yenye kauli mbiu “tunavua buti ama hatuvui, tukutane…





