JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Rais Samia : Tutaendelea kukuza sekta ya utalii tukilenga watalii milioni 8 ifikapo 2030

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kukuza Sekta ya Utalii ikilenga kufikia watalii wa ndani na wa nje milioni nane (8) ifikapo mwaka 2030. Ameyasema hayo…

Hotuba ya Rais Samia akifungua Bunge la 13 jijini Dodoma hii hapa

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, TAREHE 14 NOVEMBA 2025 UTANGULIZI Mheshimiwa Spika;       Naanza na wingi wa shukurani…

Rais Samia : Vijana msikubali kushawishiwa kuichoma nchi yenu

๐™‘๐™ž๐™Ÿ๐™–๐™ฃ๐™– ๐™ฅ๐™š๐™ฃ๐™™๐™š๐™ฃ๐™ž ๐™๐™–๐™ž๐™›๐™– ๐™ก๐™š๐™ฃ๐™ช, l๐™ž๐™ฃ๐™™๐™š๐™ฃ๐™ž ๐™ฃ๐™– ku๐™™๐™ช๐™ข๐™ž๐™จ๐™๐™– a๐™ข๐™–๐™ฃ๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™‰ln๐™˜๐™๐™ž ๐™ฎ๐™š๐™ฉ๐™ช. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฆ๐˜‚๐—น๐˜‚๐—ต๐˜‚ ๐—›๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ฎ๐—ป amewasihi Vijana kutokubali kushikiwa akili na kushawishiwa katika kuichoma na…