Author: Jamhuri
Mapambano kuenea kwa jangwa na ukame UNCCD, JET zataka maeneo ya malisho yatambuliwe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Tanzania kupitia kwa Mwakilishi wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Barani Afrika kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kutokomeza Jangwa na Ukamwe (UNCCD) ambae pia ni Mwenyekiti wa chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania…
Aweso ausimamisha uongozi wa MWAUWASA
Na Mwandishi Wetu, Mwanza SERIKALI kupitia Waziri wa Maji Jumaa Aweso,imeusimamisha uongozi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA), baada ya uzembe uliosababisha adha ya kukosa huduma ya maji kwa zaidi ya wiki mbili kwa wananchi wa…
Malezi ya maadili yasisitizwa Katika maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Wazazi na walezi wametakiwa kuongeza juhudi katika kuwalea watoto kwa kuzingatia maadili mema na kuwapa nafasi ya kusikilizwa, hatua ambayo imeelezwa kuwa msingi muhimu wa kuwajenga watoto wenye kujiamini, kuwajibika na kuepuka tabia hatarishi zinazoweza kuathiri…
Mradi mpya wa umeme Kongwa kuleta ahueni kwa wamiliki wa viwanda
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kongwa Wamiliki wa viwanda vidogo katika Wilaya ya Kongwa wameeleza matumaini makubwa ya kuondokana na changamoto ya umeme mdogo (low voltage) na mgao wa umeme kufuatia kuzinduliwa kwa mradi mpya wa miundombinu ya umeme utakaoimarisha upatikanaji…
Ndejembi azindua mradi wa bilioni 10.5/- Mbande, kung’arisha wilaya nne
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Nishati kupitia Shirika la Umeme Tanzania TANESCO imepiga hatua nyingine katika kuimarisha miundombinu ya nishati nchini baada ya Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), kuzindua rasmi Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji…
Taasisi za umma na binafsi zahimizwa kuwajibika kwa jamii
Mwenza wa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Neema Mwigulu Nchemba, amehimiza Taasisi za umma na binafsi kuendelea kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha huduma za kijamii kupitia utekelezaji wa programu za uwajibikaji kwa jamii (CSR)….





