Author: Jamhuri
Ni jambo la faraja NMB kuwakutanisha wateja wake kwenye iftar : Hemed
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla amesema ni jambo la faraja kuona Benki ya NMB inaendelea na utaratibu wake wa kuwakutanisha pamoja wateja wake, wadau na watoto yatima kwa lengo la kupata Iftari ya pamoja…
Dk Mwigulu akagua maendeleo ya ujenzi mradi wa stendi ya mabasi Arusha
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 24, 2026 amekagua maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Stendi Kuu ya Mabasi yaendayo Mikoani unaotekelezwa katika eneo la Bondeni City katika Halmashauri ya Jiji la Arusha. Mradi huo ambao utagharimu shilingi bilioni…
Halmashauri Meru yapitisha rasimu ya mpango wa bajeti ya bilioni 75.6/-
Na Happy Lazaro, JamhriMedia, Arusha Halmashauri ya Wilaya ya Meru mkoani Arusha imepitisha rasimu ya mpango wa bajeti ya zaidi ya shs 75.6 bilioni kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Akizungumza kwenye baraza maalumu la bajeti ,Mwenyekiti wa halmashauri hiyo, Lucas…
Tume ya Uchunguzi yakutana na Ole Sabaya
Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza Wakati na Baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, Leo Februari 24 imekutana na aliyewahi kuwa mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya. Mahojiano hayo ya Tume na Sabaya yamefanyika…





