JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mwandishi wa habari Mbeya ahukumiwa kwenda jela miaka 60

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limeendelea kushirikiana na wananchi na wadau wengine katika kuimarisha ulinzi na usalama wa maisha na mali kwa kufanya doria za kubaini na kuzuia uhalifu. Pia oparesheni na misako imeendelea kufanyika na kufanikiwa kuwakamata wahalifu…

NEMC kupanda miti 40, 000 maadhimisho miaka yake 40

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC kwa miongo minne imefanikiwa kutoa vyeti vya Tathmini ya Athari kwa Mazingira (EIA), kwa miradi 35,000 hatua iliyowezesha uwekezaji kufanyika kwa uwajibikaji mkubwa…

Neema ya umeme yashuka mwambao wa ziwa Nyasa

📌 Bilioni 3.2 kutumika kukamilisha miradi Ludewa, Njombe📌 Wananchi, taasisi za kijamii kuanza kunufaika na nishati ya REA📌 Sekta za uvuvi, afya na elimu kupata mapinduzi makubwa Ludewa, Njombe📍Matumaini ya ukuaji wa uchumi na uboreshaji wa huduma za kijamii yameongezeka…

Waziri Mkenda: Usimamizi wa ajira na rasilimaliwatu waimarishwa

…. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema utekelezaji wa mageuzi ya elimu unaoendelea nchini ni sehemu ya dhamira thabiti ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kuhakikisha vijana wanapatiwa ujuzi, maarifa na uwezo unaowawezesha kushiriki kikamilifu…

Tanzania, Belarus kushirikiana na kupitia TPA kuimarisha uchukuzi kupitia bandari ya Dar

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Belarus imeonesha nia ya kushirikiana na Tanzania kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kuimarisha uchukuzi wa mazao ya kilimo, hususan mbogamboga na nafaka, kupitia Bandari ya Dar es Salaam….

Ushirikiano wa sekta chachu ya mafanikio ya Afya Moja

Na Mwandishi Wet, JamhuriMedia, Kagera Timu ya wataalam kutoka sekta za afya, mifugo, mazingira, wanyamapori na kilimo imekutana katika Halmashauri ya Wilaya ya muleba mkoani Kagera kwa lengo la kuandaa Mpango wa Mkoa wa Afya Moja ambao utatumika kubaini rasilimali…