JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wabunge waipongeza NSSF, PSSSF kuanzisha skimu ya hifadhi kwa waliojiajiri

Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Wabunge wameipongeza Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kuendelea kupanua wigo wa huduma za hifadhi ya jamii kupitia Skimu ya Hifadhi kwa Wananchi Waliojiajiri, wakisema mpango huo unatoa fursa kwa mamilioni ya…

Serikali yawekeza Sh.Bilioni 10.5 kuimarisha huduma ya umeme Kongwa na maeneo jirani

Na Dotto Kwilasa JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) imekamilisha na kuzindua mradi wa kimkakati wa Kituo cha Kubadilishia Njia za Usambazaji Umeme (Switching Station) pamoja na Transforma ya Kudhibiti Umeme katika eneo la Mbande, Wilaya ya Kongwa,…

PAC yaiagiza TRA kufunga mapengo ya ukusanyaji kunufaisha wananchi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeishauri mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) masaa ya ziada irekebishe mara moja mapungufu yote yaliyoainishwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG, katika…

Miradi ya buluu Kaboni kunufaisha jamii ukanda wa Pwani

Serikali imesema utekelezaji wa miradi ya biashara ya kaboni hasa kaboni ya buluu utakapokamilika na mauzo kufanyika, itanufaisha jamii inayozunguka maeneo mengi ya Ukanda wa Pwani. Hayo yamesemwa bungeni jijini Dodoma leo Juni 16, 2026 na Naibu Waziri Ofisi ya…

Netanyahu: Uwezo wa nyuklia wa Iran umerudishwa nyuma

Netanyahu ameongeza kwamba bila ya operesheni kubwa za kijeshi zilizofanywa kwa pamoja na Marekani basi huenda Iran ingekuwa tayari inayo mabomu ya nyuklia na mamilioni ya Waisrael sasa wangekabiliwa na vitisho. Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema kampeni ya…

Trump: Mlango bahari wa Hormuz kufunguliwa Ijumaa

Kufunguliwa tena kwa njia hiyo muhimu kunaashiria hatua kubwa kuelekea kumaliza miezi kadhaa ya mzozo mbaya na msukosuko wa kiuchumi uliosababishwa na mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran mwezi Februari. Rais wa Marekani Donald Trump amesema kwamba meli…