Author: Jamhuri
Trump aapa kutekeleza asilimia 100 tishio la kutoza ushuru nchi za Ulaya
Donald Trump ameapa asilimia 100 kutekeleza tishio lake la kutoza ushuru kwa nchi za Ulaya zinazopinga ombi lake la kuchukua udhibiti wa Greenland. Washirika wa Ulaya wameungana kuunga mkono uhuru wa Greenland. Waziri wa mambo ya nje wa Denmark alisisitiza…
Ukraine yalemewa na mashambulizi ya Urusi
Ukraine inaendelea kulemewa vibaya na mashambulizi ya Urusi kwa takribani miaka minne sasa tangu uvamizi huo bila ya dalili ya vita hivyo kupata ufumbuzi licha ya hatua kadhaa zilizochukuliwa na washirika wa Kiev. Alfajiri ya Jumanne (Januari 20), vikosi vya Urusi…
Madiwani Manispaa Kibaha waridhishwa na utekelezaji wa miradi kata nne
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Madiwani wa Kamati ya Mipango, Miji na Mazingira na Kamati ya Uchumi na Huduma za Jamii ,Manispaa ya Kibaha wameridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Kata nne . Kuridhishwa huko kumejidhihirisha wakati…
Ghana, Tanzania zaendelea kuimarisha ushirikiano wa ‘ Local Content’ sekta ya madini
Accra, Ghana NCHI za Ghana na Tanzania zinaendelea kuimarisha ushirikiano wa kitaasisi katika utekelezaji wa sera za Ushirikishwaji wa Wazawa katika Sekta ya Madini (Local Content), kwa lengo la kuongeza ushiriki wa wananchi wa ndani katika minyororo ya thamani ya…
Mwaka 2026 tuutumie kujenga tulipoharibu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Heri ya mwaka mpya 2026. Narejea katika safu hii baada ya gazeti letu kutokuchapishwa kwa wiki tatu mfululizo kuanzia Desemba 30, 2025. Kwanza, ninawashukuru sana wasomaji wetu kwa simu, maombi na matashi mema…





