Author: Jamhuri
Makamu wa Rais aongoza waombolezaji mazishi ya marehemu Bi Suzana Magufuli
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mazishi ya Marehemu Bi. Suzana Ngolo Magufuli, ambaye ni Mama wa aliyekuwa…
Kikwete akutana na Catherine miaka 18 baada ya upasuaji moyo
Rais wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, alisimama kwa muda kando ya kitanda cha binti mdogo Catherine P. Conrdad Minja mwenye umri wa miaka minne katika Taasisi ya Mifupa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MOI),…
Serikali yafichua ukubwa wa vita dhidi ya dawa za kulevya
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Zaidi ya tani 1,017 za bangi zimekamatwa nchini katika kipindi cha mwaka 2025, huku serikali ikieleza kuwa operesheni kali dhidi ya mitandao ya usafirishaji na biashara ya dawa za kulevya zimeanza kuzaa matunda. Takwimu hizo zinaonyesha…
Uzinduzi kituo kipya cha mafuta cha Orxy Karatu waongeza fursa za ajira
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uzinduzi wa kituo kipya cha mafuta cha Orxy wilayani Karatu umeelezwa kuwa hatua muhimu ya kuongeza fursa za ajira, kurahisisha upatikanaji wa nishati kwa wasafirishaji na kuchochea shughuli za kiuchumi katika eneo linalotajwa…
TBS yatakiwa kushirikiana na TRA kuondoa kero za mifumo ya vibali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Judith Kapinga (Mb), ameliagiza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kushirikiana kikamilifu na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) pamoja na Taasisi nyingine husika katika kushughulikia na kuondoa kero…





