JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Utekelezaji wa Dira 2050, Tume ya Taifa ya Mipango na UNDP wazindua wiki ya ubunifu 2026

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais – Mipango na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Tausi M. Kida, amesema ushirikiano kati ya Serikali, Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Tanzania na wadau mbalimbali ni muhimu katika…

Serikali yaimarisha udhibiti bidhaa za chakula na vipodozi

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limesisitiza umuhimu wa kusajili maeneo yote yanayohusika na uuzaji, usambazaji na uhifadhi wa bidhaa za chakula na vipodozi, likieleza kuwa hatua hiyo ni muhimu katika kuhakikisha wananchi wanapata bidhaa salama na bora, kulinda afya zao….

Tanzania, Rwanda zakubaliana kuimarisha ushirikiano sekta ya mafuta

Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Biashara na Viwanda wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Antoine Kajangwe, yaliyolenga kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Rwanda katika maendeleo ya sekta ya nishati, hususan katika sekta…