Author: Jamhuri
Zoezi la uvutaji nyaya awamu ya pili eneo la Kikombo na Mkonze katika mradi wa Chalinze – Dodoma kuanza kesho
📌TANESCO yasema baadhi ya Mikoa ya Kanda ya Kati, Kanda ya Magharibi, Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Kusini Magharibi na Kanda ya ziwa kupata umeme kwa ratiba maalumu 📌Lengo ni kumpisha Mkandarasi kuendelea na utekelezaji wa Mradi huo wa kusafirisha…
RITA yasogeza huduma za usajili wa vizazi na vifo kwa wananchi wa Mufindi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mufindi Serikali wilayani Mafinga imetoa wito kwa maofisa kwa viongozi wa vijiji, dini, Serikali pamoja na wananchi wilayani humo wa kuhamasishana na kujitokeza kwa wingi katika zoezi la usajili na utoaji wa vyeti vya kuzaliwa na…
Ndejembi awasha umeme Mwanubi, asema ni hitaji la msingi kwa Watanzania
📌 Ahimiza wananchi kuunganishiwa huduma ya umeme na kuitumia kuongeza tija 📌 Shule, zahanati na maeneo mengine ya huduma za kijamii kupewa kipaumbele Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amewasha umeme katika Kitongoji cha Mwanubi mkoani Shinyanga na kusema kuwa…
TMA yakanusha taarifa potofu kuhusu baridi nchini
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imekanusha taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii ikidai kuwa tukio la Aphelion linalotokea katika mfumo wa Jua litasababisha baridi kali nchini Tanzania kuanzia Agosti 10, 2026. TMA…
Tanzania kupata dola milioni 41 za kuhifadhi wa bioanuwai, kuhimili mabadiliko ya tabianchi
Tanzania inatarajiwa kunufaika na takribani Dola za Marekani milioni 41 kupitia madirisha mbalimbali ya ufadhili wa Global Environment Facility (GEF), kwa ajili ya kuimarisha uhifadhi wa bioanuwai, urejeshwaji wa mifumo ikolojia na kujenga ustahimilivu dhidi ya athari za mabadiliko ya…
Global Education Link yawafunda wanaokwenda kusoma India
*85 kuondoka wiki ijayo kwa mwaka wa masomo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WANAFUNZI 85 wanatarajia kwenda masomoni kwenye vyuo vikuu mbalimbali nchini India kuanzia wiki ijayo kupitia Wakala wa Elimu Nje ya Nchi Global Education Link (GEL)….





