JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Makamu wa Rais azuru dampo la Pugu Kinyamwezi

-Atoa siku saba Kupatikana kwa Suluhisho la Mgogoro wa Udhibiti wa Taka Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius John Ndejembi, amefanya ziara katika Dampo la Pugu Kinyamwezi jijini Dar es Salaam, ambapo amekagua hali ya…

TMDA Yawaonya Wataalam wa afya Kibaha kuhusu dawa tiba zenye asili ya kulevya

Na Mwandishi Wetu, Kibaha. MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) Kanda ya Mashariki, kwa kushirikiana na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) na Bohari ya Dawa (MSD), imetoa mafunzo maalum kwa Waganga Wafawidhi, Wafamasia, Wauguzi…

Maandalizi ya kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru 2026 yafikia asilimia 80

*Rukwa wajipanga kufanikisha kwa kishindo *Dk Mapana asifu utayari Rukwa Na Innocent Byarugaba -ORMV, Rukwa Mkoa wa Rukwa umefikia asilimia 80 ya maandalizi ya kilele cha Mbio za Mwenge wa Uhuru kitakachokwenda sambamba na Kumbukizi ya Miaka 27 ya Kifo…

Waziri Masauni azindua na kukabidhi magari matano NEMC

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Yusuf Masauni, amezindua na kukabidhi magari matano kwa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), hatua inayolenga kuimarisha…

Kliniki ya biashara na viwanda kunufaisha zaidi ya wafanyabiashara 3,500 Arusha

Serikali imeendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wajasiriamali na wafanyabiashara nchini, huku Kliniki ya Biashara na Viwanda inayoendelea jijiji Arusha ikitarajiwa kuwafikia zaidi ya wajasiriamali na wafanyabiashara 3,500 kutoka mikoa ya Kaskazini. Akizungumza jijini Arusha wakati wa kufungua rasmi kliniki hiyo,…