Author: Jamhuri
NIRC yaanza kuchimba visima 52 Tabora, wakulima sasa kujikita kilimo cha umwagiliaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Nzega Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji imeanza uchimbaji wa visima 52 katika halmashauri nane za Mkoa wa Tabora ili kuwezesha wakulima wa maeneo hayo kuacha kulima kilimo cha mazoea ya kugemea msimu wa mvua…
Wizara ya Ardhi yapata tuzo kushriki kikamilifu mkutano wa TRAMPA 2025
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi imepata tuzo kwa kuwa miongoni mwa Wizara zilizotoa washiriki wengi kwenye Mkutano Mkuu wa Chama cha Menejiment ya Kumbukumbu na Nyaraka (TRAMPA). Wizara ya Ardhi ilitoa watumishi 56 kushiriki mkutano huo wa…
Msajili Hazina aipa tano TPA
Na Mwandishi wa OMH, Tanga Msajili wa Hazina Bw. Nehemiah Mchechu ameipongeza Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) hususan Bandari ya Tanga kwa ufanisi mzuri wa kukusanya mapato makubwa ikiwa ni matokeo ya kukamilika kwa mradi wa maboresho katika…
Kafulila: Tanzania inaweza kufikia uchumi wa dola trilioni 1 endapo tutabadilika
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Dar es Salaam TANZANIA ni kati ya nchi ambayo imebarikiwa kwa kuwa na utajiri mkubwa si wa mali pekee pia umetokana na jinsi Watanzania walivyo ukilinganisha na nchi nyingine. Hayo yamebainishwa na David Kafulila mbaye ni Mkurugenzi…
Maafisa mipango wafundwa kutekeleza majukumu kwa weledi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipangomiji nchini Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia idara ya Maendeleo ya Makazi inaendesha kikao kazi kwa Maafisa Mipangomiji wa mikoa ili kujipanga…