Author: Jamhuri
RC Dodoma awahimiza wahitimu kujiajiri kupitia ujuzi waliopata
Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule, amehudhuria sherehe ya Mahafali ya 60 ya Chuo cha Elimu ya Biashara ‘College of Business Education (CBE)’ Kampasi ya Dodoma na kuwatunuku Wahitimu 2,086 wa mwaka 2025 shughuli iliyofanyika kwenye…
Idadi ya waliokufa katika mafuriko Indonesia yafikia 1000
Mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 1,000 nchini Indonesia. Haya yamesemwa leo na maafisa wa uokoaji nchini humo. Shirika la Kitaifa la Kukabiliana na Maafa limesema maafa hayo, ambayo yamekumba kisiwa cha kaskazini-magharibi cha…
Rais Samia: Marehemu Jenista Mhagama alikuwa mlezi wa viongozi wengi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji katika ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mhe. Jenista Joakim Mhagama, iliyofanyika katika Kanisa la Mwenyeheri…
Tanzania, China waimarisha ushirikianio kielimu, ujenzi wa taasisi ya teknolojia
Na Mwandishi Wetu Mkutano wa ujenzi wa Chuo cha Teknolojia ya Uhandisi cha China na Tanzania ulifanyika kwa mafanikio makubwa mnamo Novemba 14 mwaka huu katika Chuo Kikuu cha Ardhi kilichopo Jijini Dar es Salaam. Katika mkutano huo uliudhuriwa na…
Serikali juboresha maendeleo ya raslimali watu kazini
Na Mwandishi Wetu,Jamhuri MediaDar es Salaam Serikali kupitia Wizara , Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora nahakikisha inaboresha Maendeleo ya Raslimali watu Nchini Kwa kuwekeza nguvu kuimarisha Elimu,kutoa Mfumo kazini na Usimamizi kwa Watumishi…




