JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TLP : Tukae meza moja tuzungumze na kuyamaliza, tujenge nchi yetu

Na Mwandishi wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Maridhiano,Maridhiano mara baada ya Uchaguzi Oktoba 29,2025 imekuwa gumzo kubwa linalozungumzwa kila Kona ya Tanzania na CHama Cha Tanzania labour Part TLP kimeshauri Vyama vya vyote na Viongozi wa Dini na Wadau Mbalimbali kuketi meza…

Dk Mwigulu ateta na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania

Waziri Mkuu, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 20, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima, katika Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es Salaam.

Tume yasisitiza elimu ya ushirikishwaji wa Watanzania sekta ya madini na utekelezaji wa CSR

*Ajira za Migodini Zafikia 19,874, Watanzania Wafanya Kazi kwa Asilimia 97.5 Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo, ametoa wito kwa Waratibu wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini (Local…

DC Mpogolo: Viongozi S/Mitaa ni watu muhimu katika usimamizi wa huduma za umeme

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam VIONGOZI wa Serikali za Mitaa wametajwa kuwa watu muhimu katika kusimamia miundo mbinu ya umeme kutokana na ukaribu wao na wananchi na nafasi yao katika kuratibu taarifa za huduma katika maeneo yao. Akizungumza…

Ushirikiano wa Serikali na TPC umezaa matunda makubwa Katika miaka 20

Na Mwandishi wa OMH, Moshi Ushirikiano kati ya Serikali ya Tanzania na wawekezaji binafsi katika kiwanda cha Sukari—TPC Limited umepelekea mafanikio makubwa katika kipindi cha miaka 20 iliyopita, na kuifanya kampuni hiyo kuwa miongoni mwa wazalishaji wakuu katika sekta ya…