Author: Jamhuri
Waziri Homera azindua huduma bure za msaada wa kisheria Morogoro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Juma Homera, amezindua kliniki ya huduma za msaada wa kisheria (Legal Aid Clinic) mkoani Morogoro, itakayotoa huduma za ushauri na msaada wa kisheria bila malipo kwa wananchi, ikiwa ni…
CPA Makalla awataka wananchi kujitokeza kwa wingi kupata huduma ya upimaji magonjwa yasiyoambukiza
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Arusha .Mkuu wa mkoa wa Arusha ,CPA Amos Makalla amewataka wananchi wa mkoa wa Arusha na mikoa jirani kujitokeza kwa wingi kupata huduma ya upimaji wa magonjwa yasiyoambukiza yanayotolewa na Taasisi ya moyo ya Jakaya…
Naibu Spika Sillo aendelea kukagua miradi ya elimu Babati Vijijini
Na John Walter-Babati Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini, Mheshimiwa Daniel Sillo, ameendelea na ziara yake ya kukagua miradi ya elimu jimboni humo ambapo leo alitembelea Tarafa ya Bashnet,…
Sangu : Wamiliki wa viwanda toeni ushirikiano kwa OSHA
Na OWM – KAM (Mwanza) Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu amewataka wamiliki wa viwanda nchini kuzingatia masuala ya usalama na afya mahali pa kazi ili kulinda ustawi wa wafanyakazi na kuongeza…
Tanzania, Uganda zawela histora ujenzi wa bomba la mafuta ghafi Afrika Mashariki
Mradi wa EACOP kuleta mabadiliko ya kiuchumi, ajira na huduma za kijamii Afrika Mashariki *Waziri wa Nishati na Maendeleo ya Madini wa Uganda aisifu Tanzania kwa kasi ya utekelezaji *Tanzania yafikia asilimia 79 ya ujenzi wa mradi *Mhe. Salome asema…
Wananchi wakumbishwa kuchukua tahadhari kipindi cha mvua
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari na kuwa makini katika kipindi cha msimu wa mvua ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na kujaa kwa maji katika maeneo ya miundombinu ya barabara. Rai hiyo imetolewa na…





