Author: Jamhuri
REA yawezesha vikosi vya JKT kukuza matumizi ya nishati safi
Mwenyekiti wa Bodi ya Nishati Vijijini (REB), Balozi Meja Jenerali Mstaafu, Jacob Kingu ametoa wito kwa vikosi vya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) vilivyopata miradi ya nishati safi ya kupikia kuwa mabalozi wa kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia…
iMbeju -UDSM Startup Challenge yazinduliwa, Serikali yaona umuhimu wake
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali, ikiwemo taasisi za kifedha, ili kuwekeza katika tafiti na bunifu zinazofanywa na wanafunzi wa vyuo vikuu na wahitimu, kwa…
Rais Samia akutana na Didier Drogba Ikulu Chamwino
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mshambuliaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast na Timu ya Chelsea ya Uingereza Didier Drogba mara baada ya kuwasili Ikulu Chamwino…
Bei ya mafuta ya petroli yazidi kupanda
Bei ya mafuta ya petroli imepanda kwa Jiji la Dar es Salaam imepanda toka shilingi 3,820 kwa lita mwezi Aprili hadi kufikia shilingi 4115 kwa lita mwezi Mei 2026, kulingana na taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za…
William Ruto aipongeza NSSF Tanzania kwa uwekezaji wa Dola zaidi ya milioni 51/- Nairobi
Na Mwandishi Wetu Rais wa Kenya, Dkt. William Ruto, ameusifu uwekezaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wa Tanzania unaoendelea jijini Nairobi, akisema ni mfano bora wa matumizi sahihi ya akiba za wanachama katika kukuza uchumi na…
Walimu 150 wa amali waliohudhuria mafunzo India warejea, Prof. Shemdoe amshukuru Rais Samia
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda wamewapokea walimu wapatao 150 wa amali…





