JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wananchi Kahama wamshukuru Rais Samia kuwafikishia umeme wa REA

📌Vijiji vyote 246 na Vitongoji 479 Kahama vimefikiwa 📌Shughuli za kiuchumi na kijamii zimeimarika 📌Naibu Waziri Salome awahakikishia vitongoji vyote vilivyobakia vitafikiwa 📌Awasisitiza kutunza na kulinda miundombinu ya umeme 📍Kahama – Shinyanga Wananchi Kata za Wendele na Mwendakulima Wilaya ya…

Kairuki atoa miezi mitatu kwa taasisi zinazohusika na ukusanyaji na usambazaji taarifa binafsi

Na John Walter, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Angela Kairuki ametoa miezi mitatu kwa taasisi mbali mbali ambazo zinahusika na Uchakataji,Ukusanyaji na Usambazaji wa taarifa binafsi kukamilisha usajili wake mara moja. Kairuki amesema kuwa Sheria ya…

Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha pili 2025

MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA DARASA LA NNE (SFNA) 2025 https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/sfna/sfna.htm MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA KIDATOCHA PILI (FTNA) 2025 https://matokeo.necta.go.tz/results/2025/ftna/ftna.htm

Waomba kuanzishwa masoko ya madini visiwani Zanzibar

📍 Zanzibar | Januari 10, 2026 Wananchi wa Zanzibar wameiomba Serikali kupitia Tume ya Madini kuanzisha masoko na minada rasmi ya madini Visiwani humo ili kuwawezesha wafanyabiashara, wachimbaji wadogo na wawekezaji kufanya biashara ya madini kwa uwazi, usalama na bei…