Author: Jamhuri
WMA mshindi wa kwanza Maonesho ya Biashara Afrika Mashariki
Na WMA – MWANZA Wakala wa Vipimo (WMA) umetwaa Kombe la ushindi wa kwanza katika Maonesho ya 21 ya Biashara ya Afrika Mashariki, baada ya kutangazwa kuwa taasisi bora katika kategoria ya mashirika, wakala na taasisi za umma. Ushindi huo…
TBS yaibuka mshindi wa pili katika Maonesho ya 21 ya Biashara Afrika Mashariki (MEATF)
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeibuka mshindi wa pili katika kundi la Taasisi za Udhibiti wakati wa Maonesho ya 21 ya Biashara Afrika Mashariki (MEATF), yanayofanyika katika Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza. Ushindi huo unaonesha namna TBS inavyoendelea kutekeleza jukumu…
Wananchi Ruvuma waiomba Serikali kuimarisha miundombinu ya barabara
Na Mwandishi wetu,Songea. Wananchi Mkoani Ruvuma wameiomba serikali kupitia Wakala wa Barabara vijijini na Mijini (TARURA) na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kuona umuhimu wa kuchukua hatua za kuboresha miundombinu ya barabara ikiwa ni pamoja na kusafisha mifereji na mitaro…
Makamu wa Rais Ndejembi atoa maelekezo kuhusu bei ya sementi
Na Mwandishi Wetu MAKAMU wa Rais wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, ametoa maeekezo kwa Wizara ya Viwanda na Biashara kukaa meza moja na wazalishaji wa saruji nchini ili kuweka mikakati ya haraka itakayohakikisha saruji inapatikana kwa wingi na bei nafuu. Ametoa…
Jubilee Life Insurance yazindua bidhaa tatu mpya za bima ya maisha
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM KAMPUNI ya Jubilee Life Insurance Tanzania imezindua bidhaa tatu mpya za bima ya maisha zinazolenga kuwasaidia Watanzania katika uwekaji akiba, maandalizi ya elimu, ulinzi wa maisha na mahitaji mengine ya kifedha ya baadaye. Bidhaa…
PBPA Yawawezesha Mama Lishe Kurasini kuhamia Nishati Safi ya kupikia
Dar es Salaam, Septemba 3, 2026 Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA), Mhandisi Bruno Tarimo, amewahimiza mama na baba lishe kuachana na matumizi ya kuni na mkaa wa kawaida na kuhamia katika nishati safi ya…





