Author: Jamhuri
Vurugu zashuhudiwa wakati wa kuagwa mwili wa Odinga
Polisi nchini Kenya imelazimika kufyetua mabomu ya machozi na risasi hewani kuwatawanya maelfu ya waombolezaji waliokwenda kuuga mwili wa Raila Odinga. Watu hao walikuwa wamekusanyika katika uwanja wa mpira wa Kasarani jijini Nairobi kuuaga mwili wa aliyewahi kuwa Waziri Mkuu…
Dk Mpango amwakilisha Rais Samia mkutano wa SADC
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ Troika Summit)…
Dk Mwinyi : Amani na umoja nguzo za maendeleo Zanzibar
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Paje Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema chama kitaendelea kusimamia na kulinda misingi ya amani, umoja na mshikamano ambayo imeiwezesha Zanzibar kufikia mafanikio makubwa ya maendeleo katika miaka…
Polisi Pwani yachunguza mauaji ya watu wanne, miili yakutwa pembezoni mwa barabara
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Jeshi la Polisi mkoani Pwani linachunguza tukio la kutatanisha baada ya miili ya watu wanne wasiojulikana kupatikana pembezoni mwa barabara ya kutoka Mapinga kuelekea Kibaha, katika maeneo ya Kidimu-Vingunguti, wilayani Kibaha. Kwa mujibu wa Kamanda…
Wakulima wadogo zaidi ya 747 kunufaika na mradi wa umwagiliaji Geita
NIRC – Geita Zaidi ya wananchi 747 wanatarajiwa kunufaika na mradi wa uchimbaji visima vya Umwagiliaji 36 unaotekelezwa katika kijiji cha Mwilima Mkoani Geita, ambapo visima hivyo vitamwagilia zaidi ya ekari 1440 katika vijiji 32, lengo ikiwa ni kuongeza uzalishaji…
Vijana 50 wapatiwa elimu ya mpiga kura
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Zaidi ya vijana 50 kutoka vyuo vikuu na sekta mbalimbali wamepatiwa elimu ya mpiga kura ili kuongeza uelewa kuhusu umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi na kuchagua viongozi bora watakaoliongoza taifa kwa amani na…