Author: Jamhuri
Rc Manyara akagua miradi, asikiliza kero na kuzitatua Hanang’
Na Ruth Kyelula, Manyara Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amefanya ziara ya ukaguzi wa muradi, kusikiliza kero za wananchi na kuzitatua, ambapo ameanza ziara yake hiyo ya Kata kwa Kata, yenye kauli mbiu “tunavua buti ama hatuvui, tukutane…
CCM Pwani yasema Rais Samia ameonyesha thamani ya wazee na mwelekeo sahihi wa taifa
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Pwani kimesema kuwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameonyesha kuthamini mchango wa wazee katika Taifa kupitia ushirikishwaji wao kama nguzo muhimu ya hekima. Pia kimedai kuwa Rais ameendelea kuonesha uzalendo…
Shule za sekondari 52, Chuo cha VETA kufungiwa miundombinu ya nishati safi ya kupikia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imesaini mikataba ya kufunga miundombinu ya nishati safi ya kupikia kwa shule za Sekondari 52 na Chuo cha VETA kimoja hapa nchini. Hafla hiyo ya utiaji saini imeongozwa…
Chuo Kikuu Kairuki chaeleza akili mnemba ilivyorahisisha mambo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MATUMIZI makubwa ya teknolojia ya kisasa na akili mnemba yamerahisisha utoaji wa huduma za afya hususan upasuaji na kwenye kufundishia wanafunzi wanaosomea tiba. Hayo yamesemwa leo na Makamu Mkuu wa chuo Kikuu Kairuki,…
Serikaki yaimarisha miundombinu ya umwagiliaji Ihahi, wananchi wasema itapunguza adha ya mafuriko
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbarali Wakazi wa Kata ya Ihahi, Wilaya ya Mbarali, wameishukuru Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), kwa hatua ya kujenga miundombinu ya Umwagiliaji ikiwemo mifereji kupitisha maji pamoja na kuziba makorongo yaliyokuwa yakisababisha madhara…
Meya Nicas: Sitowavumilia watumishi wazembe na wanaofanyakazi kwa mazoea
Na Mwamvua Mwinyi, JanhuriMedia, Kibaha Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha, Dkt. Mawazo Nicas, ametoa rai kwa wakuu wa idara na watendaji kuacha kufanya kazi kwa mazoea, na badala yake kuongeza uwajibikaji ili kuhakikisha wananchi wanahudumiwa ipasavyo. Aidha,…





