Author: Jamhuri
Khamis Mgeja ameacha historia ya ujasiri, uzalendo
Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tanzania Mzalendo Foundation, Khamis Mgeja, amefariki dunia ghafla Novemba 3, 2025, nyumbani kwake mjini Kahama, mkoani Shinyanga ambapo anatarajia kuzikwa leo. Mgeja ni mmoja wa wanasiasa waliowahi kushika nafasi mbalimbali ndani…
RC Kagera apiga kura, awahakikishia usalama wananchi
Na Theophilida Feliciani, JamhuriMedia, Kagera Ikiwa leo tarehe 29, Oktoba 2025 ni siku muhimu kwa Watanzania kuwachagua viongozi Mkuu wa Mkoa Kagera Hajath Fatma Mwassa ameungana na watanzania wengine kutimiza haki yake ya kuwachagua viongozi wa udiwani, wabunge na Rais….
Waziri Ndumbaro apiga kura, apongeza utulivu na amani
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro, ameambatana na familia yake kupiga kura katika kituo namba moja cha Mjimwema A, eneo ambalo amekuwa akipigia kura kwa miaka mingi. Akizungumza mara baada ya kupiga kura,…
Hali ni shwari Pwani, wananchi waendelea kupigama kura kwa amani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge, ameungana na wananchi wa mkoa huo katika zoezi la kupiga kura mapema oktoba 29,2025, akisisitiza hali ni shwari na ulinzi na usalama imeimarishwa. Aidha Kunenge ameeleza, wananchi…





