JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kiongozi Mbio awaelekeza wakurugenzi nchini, kuwekeza katika usimamizi wa miradi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Handeni KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa, Wazo Mwang’onda, amewaelekeza Wakurugenzi wa Halmashauri za Majiji, Miji na Wilaya nchini, kuwekeza zaidi katika usimamizi wa miradi na huduma za maendeleo, ili kufikia kusudio la kuinua hali ya…

Ukaguzi wa migodi waendelea kuimarisha usalama na uhifadhi wa mazingira nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tume ya Madini imeendelea kuimarisha ukaguzi wa migodi nchini kupitia Kurugenzi ya Ukaguzi wa Migodi na Mazingira kwa lengo la kuhakikisha shughuli za uchimbaji zinafanyika kwa usalama, ufanisi na kwa kuzingatia uhifadhi wa mazingira, hatua…

Mfumo wa Stakabadhi za ghala kuingia sekta ya mifugo

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imesema matumizi ya Mfumo wa Stakabadhi za Ghala katika sekta ya mifugo yataimarisha masoko na kuongeza ushindani wa bei ya bidhaa hiyo nchini. Akizungumza Juni 19, 2026 katika Maonesho…

Kambi ya madaktari bingwa yavuta wananchi zaidi ya 2,000 Mafia

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Zaidi ya wananchi 2,000 wamejitokeza kupata huduma katika kambi ya matibabu ya madaktari bingwa na wabobezi iliyoandaliwa na Taasisi ya Jamii Bora kwa ufadhili wa Benki ya Amana kupitia Mfuko wake wa Hisani, tangu Juni…

Ofisi ya Waziri Mkuu yathibitisha nyenzo muhimu za kuimarisha usimamizi wa maafa nchini

Na Mwandishi Wetu, Dodoma SERIKALI imeendelea kuchukua hatua mbalimbali za kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa nchini ili kuongeza uwezo wa kuzuia, kujiandaa, kukabiliana na kurejesha hali baada ya maafa, kufuatia kuongezeka kwa matukio yanayochochewa na mabadiliko ya tabianchi pamoja…

Mkurugenzi wa Uchaguzi apongeza ufanisi na uwazi wa mfumo wa uagizaji mafuta kwa pamoja

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Ramadhan Kailima, amepongeza ufanisi na uwazi wa Mfumo wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja unaosimamiwa na Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja, akieleza kuwa mfumo…