Author: Jamhuri
Rostam ainunua Nation Media Group
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia BAADA ya zaidi ya miaka 66 ya ushirikiano wa kihistoria, hatua mpya inaanza katika tasnia ya habari Aga Khan Fund for Economic Development (AKFED) imetangaza kuuza hisa zake zote katika kampuni ya NPRT Holdings Africa Limited,…
Maadhimisho ya Siku ya Haki za Mtumiaji Duniani kufanyika Tanga Machi 15
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAADHIMISHO ya kitaifa ya Siku ya Haki za Mtumiaji Duniani kwa mwaka 2026 yanatarajiwa kufanyika jijini Tanga Machi 15, yakilenga kuhamasisha ulinzi wa haki, usalama na ustawi wa watumiaji wa bidhaa na huduma…
Kamati ya Bunge yakoshwa na ofisi ya Makamu wa Rais kwa usimamizi mzuri wa miradi
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria leo Machi 09, 2026 imeipongeza Ofisi ya Makamu wa Rais kwa utekelezaji na usimamizi mzuri wa miradi ya mazingira. Pongezi hizo zimetolewa na Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Dkt. Damas…
TARURA yakamilisha ujenzi wa daraja la mawe kupitia mradi wa dharura Karatu
Na Mwandishi Wetu, JamhutiMedia, Karatu Serikali kupitia Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetekeleza mradi wa ujenzi wa daraja la mawe la Sabasaba lenye urefu wa mita 16.6 na upana wa mita 7 katika eneo la Kambi ya…
Vyama vya siasa vyatakiwa kuwasilisha kwa wakati taarifa za gharama za uchaguzi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini imevitaka vyama vya siasa kuwasilisha kwa wakati taarifa za gharama walizotumia katika Uchaguzi Mkuu ili kuimarisha uwazi na demokrasia nchini. Akizungumza leo Machi 10, 2026…
Makamu wa Rais afanya mazungumzo na Wizara tatu zinazohusiana na mazingira
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa Wizara zinahusiana na Sekta ya Mazingira, kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuwa na mpango wa pamoja utakaowezesha uhifadhi endelevu wa mazingira. Makamu wa Rais…





