JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ndejembi arithi mikoba ya Makamu wa Rais, Dk Nchimbi afukuzwa uanachama

Deogratius Ndejembi amechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania katika kikao Maalum cha Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM . Ndejembi anachukua mikoba ya aliyekuwa Makamu wa Rais Dk Emmanuel Nchimbi ambaye amejiudhuru nafasi hiyo. Katika kikao…

Dk Samia aongoza Kamati Kuu Maalum na Halmashauri Kuu ya CCM Taifa leo jijini Dar es Salaam

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, aongoza Vikao Maalum vya Kamati Kuu ya CCM na Halmashauri Kuu ya CCM Vilivyoketi jijini Dar es Salaam leo, Jumatano tarehe 26…

Tunamhitaji Makamu wa Rais atakayeunganisha nchi

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jana, Agosti 25, 2026, ilikuwa siku iliyozalisha mshituko mkubwa katika taifa letu. Mshituko huo ulitokana na taarifa ya kujiuzulu kwa Makamu wa Rais, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, ambaye amesema ataondoka rasmi madarakani Septemba…

Ofisi ya Msajili wa Hazina kuimarisha ushirikiano na taasisi za umma za China

Dar es Salaam Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) iko katika hatua za mwisho za kukamilisha hati mbili za makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na Tume ya Usimamizi wa Mali za Serikali za China (SASAC) pamoja na Jumuiya ya China ya…

Polisi wawili wafariki kwa kugongwa na gari kwenye kivuko Kibaha

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha WATU wawili ambao ni askari wa Jeshi la Polisi wamefariki dunia baada ya kugongwa na gari katika kivuko cha waenda kwa miguu eneo la Maili Moja, Wilaya ya Kibaha, Mkoa wa Pwani. Ajali hiyo ilitokea…

Aweso : Wazazi Pangani pelekeni watoto wakapate chanjo ya Polio

Na Mwandishi Wetu Wazazi na walezi waishio wilayani Pangani mkoani Tanga, wamehimizwa kuwapeleka watoto wao walio chini ya umri wa miaka kumi katika vituo vya kutolea huduma ili wakapate chanjo ya ugonjwa wa Polio. Hayo yameelezwa na Mbunge wa Jimbo…