JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Waziri wa Uchukuzi ashuhudia majaribio MV Liemba kuashiria miaka 50 ya safari mpya

Na Prosper Makene Meli kongwe ya Mv Liemba iliyosimama kazi kwa zaidi ya miaka nane, imeanza rasmi majaribio ya kiufundi baada ya serikali kutumia shilingi bilioni 34 kufanya ukarabati na uwekezaji katika meli hiyo, inayotarajiwa kuanza safari zake September Mosi…

Ridhiwani: karakana ziwe chemchem za ubunifu, kazi za vijana zisajiliwe

Na Mwamvua Mwinyi, Bagamoyo WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais–Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora (Mb), Ridhiwani Kikwete, amezitaka shule za msingi na sekondari kuwa na karakana zitakazokuwa chemchemi za ubunifu kwa vijana, huku akisisitiza kazi zitakazobuniwa katika…

Sekta ya Madini Yavutia Uwekezaji wa Trilioni 9 ndania ya miaka minne

▪️Mikataba ya Msingi 14 ya Madini Yasainiwa ▪️Serikali yasaini Mkataba wa Bilioni 265 na Kampuni ya Henan Yudi Mining ya Mradi wa Graphite Morogoro ▪️Tanzania yawa kivutio kikubwa cha uwekezaji sekta ya Madini Afrika ▪️Rais Samia apongezwa kwa mazingira wezeshi…

NMB yaweka nguvu tamasha la Kizimkazi, yapekeka huduma karibu na wananchi

Benki ya NMB imehitimisha ushiriki wake katika Tamasha la Kizimkazi 2026 kwa kuunganisha wananchi na huduma za kifedha pamoja na fursa za kukuza biashara. NMB ilikuwa miongoni mwa wadhamini wa tamasha hilo lililofikia kilele jana, Agosti 14, Kusini Unguja. Banda…

Dk Samia kuzindua rasmi mradi wa JNHPP Agosti 22

📌Waziri Ndejembi asema ni tukio la kihistoria litakaloshuhudiwa na watanzania pamoja na wageni 📌Asema mradi wa JNHPP ni matokeo ya uwekezaji wa sh.trilioni 7.4; Fedha za Watanzania Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema kuwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano…

Makundi maalum bado hayashirikishwi kikamilifu kwenye mipango ya tabianchi

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM Utafiti uliofanywa katika wilaya tatu nchini umebaini kuwa mabadiliko ya tabianchi yanaendelea kuathiri miundombinu ya shule, huku maeneo yanayokumbwa na mafuriko yakitajwa kuwa katika hatari kubwa ya kuharibika kwa madarasa, maktaba, maabara na miundombinu…