Author: Jamhuri
Hakutokuwa na maadhimisho ya sherehe za Uhuru Desemba 9
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza kwamba hakutokuwa na maadhimisho ya sherehe za Uhuru Desemba 09, 2025 na badala yake fedha ambazo zilipaswa kutumika katika sherehe hizo zitapelekwa kutumika kurekebisha miundombinu iliyoharibika…
Waziri wa Viwanda ateta na wenye viwanda
Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga ameahidi kuendeleza ushirikiano baina ya serikali na wenye viwanda kuhakikisha anatimiza ndoto za Rais Samia Suluhu Hassan za kuongeza idadi ya viwanda nchini. Aliyasema hayo jana wakati akizungumza na wanachama…
Waziri Kapinga : FCC fanyeni kazi kwa weledi, ufanisi kudhibiti bidhaa feki
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Waziri wa Viwanda na Biashara Judithi Kapinga ameitaka Tume ya Ushindani FCC kuhakikisha wanafanya kazi kwa weledi ufanisi ili kusaidia kudhibiti bidhaa feki zisifike kwa Wananchi. Agizo hilo amelitoa meo Novemba 24,2025 Jijini Dar…
Kwagilwa awataka watumishi wa umma kuheshimu na kuzingatia muda wa kazi
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) anayeshughulikia Elimu, Mhe. Reuben Kwagilwa, amewataka watumishi wote walio chini ya Ofisi hiyo kuripoti kazini saa 1:30 asubuhi na kutekeleza majukumu yao hadi saa 9:30 alasiri…
Wanne wajitosa kuwania nafasi ya umeya Manispaa ya Mji Kibaha
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Diwani Mteule wa Kata ya Pangani, John Katele, ni miongoni mwa madiwani wanne waliojitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi ya Meya wa Manispaa ya Kibaha, mkoani Pwani kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Wengine waliopata fomu…





