Author: Jamhuri
Miaka 40 ya COSTECH: Utafiti Unavyobadili Maisha ya Wafugaji
Clement akiwa na ng’ombe/eneo la malisho ******************* MTANANA, KONGWA, DODOMA — Kwa miaka mingi, Clement Alfonce alifuga ng’ombe kwa kutegemea malisho ya asili. Ng’ombe wake walizunguka katika maeneo mbalimbali kutafuta malisho, hali iliyomweka katika migogoro ya mara kwa mara na…
Mabadiliko ya mila, mtazamo ni muhimu kufikia malengo ya nishati safi ya kupikia – Ndejembi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi amesema juhudi za usambazaji wa teknolojia za nishati safi ya kupikia zinapaswa kwenda sambamba na kuweka mkazo katika mabadiliko ya mila, desturi na mitazamo ambayo inachangia katika kurudisha nyuma…
Miaka 40 ya COSTECH: Mkurugenzi Mkuu akagua miradi ya utafiti wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
Clement Alfonce akizungumza na ITV akiwa shambani
CPA Walalaze : Walipakodi tumieni siku ya alhamisi kuwasilisha changamoto zenu
Na Mwandishi Wetu Kodi ni chanzo muhimu cha mapato kinachoiwezesha serikali kufanikisha mipango na mikakati yake ya kimaendeleo kwa wananchi wake. Wananchi wanahitaji huduma nzuri za kijamii kama elimu, afya, maji, umeme, barabara na masoko. Aidha, wanahitaji pia kuwezeshwa kiuchumi…
Tanzania yaihakikishia Fitch uchumi wenye mwelekeo chanya
Na. Josephine Majura na Asia Singano, WF- Dodoma Serikali imesema uchumi wa Tanzania unaendelea kuimarika na kwamba uwekezaji katika sekta mbalimbali, hususani madini, gesi, nishati, kilimo na miundombinu, unatarajiwa kutoa msukumo mkubwa kwa ukuaji wa uchumi. Hayo yalielezwa na Waziri…
Waziri Ndejembi mgeni rasmi mdahalo wa nishati safi Kizimkazi
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi (Mb.), amewasili Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja-Zanzibar, ambapo ni mgeni rasmi katika Mdahalo wa Nishati Safi unaolenga kujadili masuala mbalimbali kuhusu nishati hiyo, leo tarehe 11 Agosti 2026. Mdahalo huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbali…





