Author: Jamhuri
Wizara ya Maji yawasilisha Mpango wa Gridi ya Taifa ya Maji kwa Kamati ya Bunge
Wizara ya Maji imewasilisha taarifa ya utekelezaji wa mpango wa ujenzi wa Gridi ya Taifa ya Maji kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira. Naibu Waziri wa Maji Mhe. Mhandisi Kundo Mathew (Mb) akiwasilisha taarifa hiyo kwa…
Watumishi wa Wizara Watembelea Ofisi za Ubalozi India
Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wanaohudhuria mafunzo maalum ya diplomasia nchini India wametembelea Ofisi za Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini New Delhi. Katika ziara hiyo, watumishi hao walikutana na wafanyakazi…
Dc Ndemanga: Mazoezi Silaha dhidi ya Magonjwa
Mwamvua Mwinyi, BagamoyoAgosti 14, 2026 MKUU wa Wilaya ya Bagamoyo, Shaibu Ndemanga, amewasihi wananchi kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi mara kwa mara, akisema michezo ni muhimu katika kujenga afya na kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Ndemanga alitoa kauli hiyo…
Salome apongeza utoaji elimu kwa wananchi maonesho ya Kizimkazi
Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba (Mb.), ametembelea mabanda ya Wizara ya Nishati na taasisi zake katika Maonesho ya Tamasha la Kizimkazi yanayoendelea Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar. Akiwa katika mabanda hayo, Mhe. Salome amezungumza na wataalam pamoja…
Madereva Polisi watakiwa kuwa mfano usalama barabarani – Mwakihaba
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Madereva wa Jeshi la Polisi mkoani Pwani wametakiwa kuzingatia sheria na kanuni za usalama barabarani na kuacha kutumia nafasi zao kama askari kukiuka sheria wanapokuwa barabarani. Rai hiyo imetolewa na Kamanda wa Kikosi cha Usalama…
Balozi Khamis aimwagia sifa TRA kwa utendaji ulioiwezesha kuvuka malengo
Na. Benny Mwaipaja, Zanzibar Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ameimwagia sifa Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA kwa utendaji uliotukuka uliowezesha Mamlaka hiyo kuendelea kuvuka malengo ya ukusanyaji wa mapato kila mwezi na kueleza imani yake kwamba kwa…





