JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mkandarasi akamilisha awamu ya kwanza uvutaji nyara mradi wa Chanlize – Dodoma

📌TANESCO yawashukuru wateja kwa uvumilivu na kutangaza awamu ya pili kuanza Agosti 11–14 katika maeneo ya Kikombo na Mkonze – Dodoma Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema Mkandarasi amekamilisha kwa mafanikio awamu ya kwanza ya kazi za uvutaji wa nyaya…

BoT yatumia maonesho ya Nanenane kuhamasisha vijana kujiunga na chuo chake

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma CHUO cha Benki Kuu ya Tanzania (BoT Academy) kimefungua dirisha la udahili kwa programu zake za muda mrefu na mfupi, huku kikiwahamasisha vijana waliomaliza kidato cha sita, wahitimu wa vyeti na shahada pamoja na watumishi…

Wakulima wahimizwa kujiunga na Bima ya Kilimo kujikinga na hasara

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAKULIMA nchini wamehimizwa kujiunga na Bima ya Kilimo ili kujikinga dhidi ya hasara zinazotokana na majanga ya asili, magonjwa na wadudu waharibifu, hatua itakayowasaidia kulinda uwekezaji wao na kuendelea na uzalishaji hata wanapokumbwa na changamoto….

Serikali kushirikiana na sekta binafsi kudhibiti taka za plastiki

Serikali itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kuhakikisha kunakuwa na uwiano kati ya udhibiti wa taka za plastiki, ulinzi wa mazingira na ukuaji wa sekta ya viwanda ili uchumi wa nchi uendelee kuimarika. Hayo yamesemwa na Waziri wa Viwanda Biashara, Mhe….

TBA yafungua fursa mpya za uwekezaji katika makazi na majengo ya biashara

Na Mwandishi Wetu Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umefungua fursa mpya za uwekezaji katika sekta ya makazi, majengo ya biashara na maendeleo ya miji, hatua inayolenga kuboresha huduma kwa wananchi, kuvutia mitaji na kuchochea ukuaji wa uchumi wa Taifa. Meneja…

Serikali yahakikisha upatikanaji wa mbolea, tani 33,000 za DAP zaanza kusambazwa nchini

Serikali kupitia Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imewahakikishia wakulima nchini upatikanaji wa mbolea ya kutosha kwa msimu wa kilimo wa mwaka huu, ikitangaza kuanza kwa usambazaji wa tani 33,000 za mbolea ya kupandia aina ya DAP zilizowasili nchini kupitia Bandari…