Author: Jamhuri
Inclusive Mwalimu Gala 2026 yazindua mjadala wa kitaifa
Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafadh Ameir, amesisitiza nafasi muhimu ya wanawake wanataaluma katika kufanikisha Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Akizungumza jijini Dar es Salaam katika hafla ya Inclusive Mwalimu Gala 2026, Naibu Waziri amesema kuwa…
TGNP yaimarisha uwe,o wa wanawake katika kilimo cha kibiashara
Na Mwandishi Wetu, Dodoma Maonesho ya 49 ya Kilimo ya Nane Nane yanayoendelea katika viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela, Nzuguni jijini Dodoma, yamekuwa jukwaa muhimu kwa wanawake wakulima kutoka maeneo mbalimbali nchini kujifunza teknolojia mpya za kilimo, kubadilishana mbegu…
DC Tabora, Kigoma, waitaka EWURA kuongeza hamasa nishati safi, vituo vya mafuta vijijini
Na Mwandishi Wetu, Tabora Wakuu wa Wilaya za Tabora, Mh. Upendo Wella, na Kigoma, Mh. Dkt. Rashid Chuachua, wameipongeza EWURA kwa usimamizi mzuri wa huduma za nishati na maji nchini. Wametoa pongezi hizo walipotembelea banda la EWURA, katika maonesho ya…
Nguvu kazi yenye ujuzi ndio ufunguo wa kukuza uchumi wa taifa
MKUU wa Kampasi ya Dodoma wa Chuo cha Uhasibu Arusha,Prof. Epaphra Manamba,amesema wanaendelea kuandaa wataalamu wenye ujuzi na uwezo wa kutumia teknolojia za kisasa katika uzalishaji, usimamizi na biashara ya mazao, hatua itakayochangia kuongeza tija, ushindani na thamani ya sekta…
Tuzo kubwa za viwanda Tanzania zarejea
ā—¸PMAYA ya 19 sasa kufanyika Agosti 24 Na Mwandishi Wetu Shirikisho la Viwanda Tanzania (CTI) limetangaza kuwa Tuzo za Rais za Wazalishaji Bora wa Mwaka (PMAYA) kwa mara ya 19, jukwaa kubwa zaidi nchini Tanzania kwa kutambua mafanikio ya Viwanda,…
Elimu ya kisasa kutegemea zaidi teknolojia na tafiti
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM SERIKALI itaendelea kuwekeza katika maendeleo ya kitaaluma ya walimu, wakufunzi na wahadhiri kupitia mafunzo endelevu, tafiti na matumizi ya teknolojia za kisasa ili kuhakikisha mfumo wa elimu unazalisha wahitimu wenye ujuzi unaokidhi mahitaji ya…





