Author: Jamhuri
Baraza la Taifa la Watoto laomba kukutana na Rais SamiaNa Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma
Baraza la Taifa la Watoto limeomba kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan ili kuwasilisha mapendekezo na changamoto zinazohusu ustawi, ulinzi na maendeleo ya watoto nchini. Ombi hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Baraza la Taifa la Watoto, Daniel Magembe, wakati wa…
Tanzania na Korea zatafuta Ushirikiano Imara wa Kiuchumi
Na. Benny Mwaipaja Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), amesema kuwa Tanzania na Korea Kusini zimekubaliana kuongeza kasi ya utekelezaji wa ahadi iliyotelewa na nchi hiyo ya dola za Marekani bilioni 2.5 kwa Tanzania kwa ajili ya…
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara akagua Ujenzi wa Viwango House Arusha
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Denis Londo (Mb), ametembelea kiwanja kinachotarajiwa kujengwa Viwango House eneo la Mateves, Mkoani Arusha. Ziara hiyo imelenga kujionea eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa ofisi hizo, pamoja na kufahamu hatua zinazofikiwa katika…
Mhe. Luswetula abainisha fursa, awakaribisha wawekezaji Tanzania
Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Luswetula (Mb), akichangia hoja kuhusu uwekezaji katika sekta ya afya wakati wa Jukwaa la Mazungumzo ya Ngazi za Juu la Mawaziri wa Fedha Afrika kuhusu kuimarisha uwekezaji wa pamoja katika sekta ya afya, linalofanyika…
Tanzania yapata nafasi 150 za ufadhili wa masomo Algeria
Tanzania imepata nafasi 150 za ufadhili wa masomo nchini Algeria kwa wanafunzi waliofanya vizuri, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Serikali kuongeza fursa za elimu ya juu nje ya nchi. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema…
Salome ashuhudia utiaji saini mkataba wa bilioni 198/- kuimarisha umeme Songwe, Chunya
📌Ataka kasi ya utekelezaji wa mradi na wazawa kupewa kipaumbele 📌Wachimbaji wapongeza Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Salome Makamba, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wenye thamani ya shilingi bilioni 198.67 kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Njia…





