Author: Jamhuri
Neema ya Uwekezaji wa Kiwanda cha Kuchakata Madini ya Mchanga wa Baharini
NA: DK. REUBENI LUMBAGALA Sekta vya viwanda ni injini ya maendeleo ya uchumi kutokana na kufungamanishwa kwake na fursa mbalimbali za maendeleo. Katika jitihada za kuinua maendeleo ya watu na ya uchumi, viwanda havipaswi kuachwa nyuma kwani vina mchango mkubwa…
NYANDUGA: Demokrasia Halisi Haiwezekani Bila Kukomesha Matatizo yanayosababisha Chuki katika Taifa
Na Mwandishi wetu —Jamhuri media Dar es Salaam Mwenyekiti mstaafu wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Bahame Tom Nyanduga, amesema Tanzania haiwezi kujenga demokrasia halisi na endelevu bila kukomesha changamoto zilizojitokeza katika chaguzi zilizopita ili zisijirudie katika…
Dar es Salaam yazindua Jukwaa la Mifumo ya Chakula
JIJI la Dar es Salaam limezindua Jukwaa la Mifumo ya Chakula litakalokuwa chombo cha kuunganisha wadau mbalimbali katika kuboresha upatikanaji wa chakula salama, bora na chenye lishe kwa wakazi wa jiji hilo. Uzinduzi wa jukwaa hilo ulifanywa na Naibu Meya…
Waziri Masauni aitambua NEMC kama mlezi wa Green Summit
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Hamad Yusuf Masauni, amelitambua na kulipongeza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa nafasi yake muhimu kama Mlezi na mdau wa kitaasisi wa Tanzania…
NCAA yawapiga msasa Malaigwanani
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imeendesha mafunzo ya ujasiriamali kwa Malaigwanani ,wazee na kina mama maarufu wapatao 33 kutoka kata 11 za ndani ya eneo la hifadhi Ngorongoro ili kuwajengea uwezo wa kutambua fursa mpya za kiuchumi. Akizungumza wakati wa…
Makandarasi watakiwa kufanyia kazi maagizo wanayopewa kabla ya El Nino
Dar es Salaam Makandarasi wanaotekeleza miradi ya ujenzi wa miundombinu ya barabara za kuingia viwanja vya mazoezi na uendelezaji wa barabara ya uwanja wa Taifa ambayo itatumika wakati wa michuano ya AFCON wametakiwa kufanyia kazi maelekezo yote wanayopatiwa na Wakala…





