Author: Jamhuri
Sekta ya Madini imepiga hatua – Dk Kiruswa
NAIBU Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa amesema chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Sekta ya Madini imepiga hatua kubwa. Dkt. Kiruswa ameyasema hayo leo Aprili 30, 2025 wakati akifunga Kikao cha Manejimenti ya Tume ya Madini kilichofanyika…
John Mrema atimuliwa uanachama CHADEMA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHAEMA), kupitia tawi la Bonyokwa, limetangaza rasmi kumvua uanachama wake aliyekuwa mwanachama wake, John Mrema. Uamuzi huo umetangazwa kupitia barua rasmi yenye Kumbukumbu Namba CDM/MTG/KND/01.2025 katika kikao cha…
Dk Biteko alitaka Shirika la Maendeleo ya Petroli kuongeza kasi ya uendelezaji vitalu vya mafuta na gesi asilia
📌 Azindua Mkakati wa Kwanza wa Muda mrefu wa Shirika (2025-2050) 📌 Asisitiza Jamii zinazozunguka miradi ya Mafuta na Gesi Asilia kutopuuzwa 📌 Apongeza Bodi na Menejimenti ya TPDC kwa kuipambanua Tanzania kama kitovu cha Mafuta na Gesi Asilia 📌…
Tume ya TEHAMA, Soft-Tech zasaini ushirikiano kuinua sekta ya TEHAMA
Dk. Mwasaga apongeza mchango wa sekta binafsi Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TUME ya TEHAMA nchini (ICTC) imesaini makubaliano ya kuanzishwa rasmi kwa ushirikiano na kampuni ya Soft-Tech Consultant Ltd kwa lengo la kuimarisha sekta ya TEHAMA na…
Halmashauri zisizo na stendi za kisasa zapewa maelekezo
Wakurugenzi wote nchini ambao halmashauri zao zinahitaji kujenga stendi za kisasa wanatakiwa kutenga na kuainisha maeneo ya kujenga stendi hizo na kuanza kutenga fedha za mapato ya ndani kwa ajili ya kuanza ujenzi wa stendi hizo. Naibu Waziri-Ofisi ya Rais-Tamisemi,…
Ushiriki wanamichezo kutoa TRA unalenga kusambaza ujumbe wa kulipa kodi
Mkurugenzi wa Elimu kwa Mlipakodi na Mawasiliano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Richard Kayombo amesema kuwa ushiriki wa wanamichezo kutoka TRA katika michezo ya aina mbalimbali katika michezo ya Mei Mosi unalenga kusambaza ujumbe wa ulipaji kodi pamoja…