Author: Jamhuri
Rais Samia : Tutaendelea kukuza sekta ya utalii tukilenga watalii milioni 8 ifikapo 2030
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itaendelea kukuza Sekta ya Utalii ikilenga kufikia watalii wa ndani na wa nje milioni nane (8) ifikapo mwaka 2030. Ameyasema hayo…
Hotuba ya Rais Samia akifungua Bunge la 13 jijini Dodoma hii hapa
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA SAMIA SULUHU HASSAN, WAKATI WA KUFUNGUA RASMI BUNGE LA 13 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, TAREHE 14 NOVEMBA 2025 UTANGULIZI Mheshimiwa Spika; Naanza na wingi wa shukurani…
Rais Samia : Vijana msikubali kushawishiwa kuichoma nchi yenu
๐๐๐๐๐ฃ๐ ๐ฅ๐๐ฃ๐๐๐ฃ๐ ๐๐๐๐๐ ๐ก๐๐ฃ๐ช, l๐๐ฃ๐๐๐ฃ๐ ๐ฃ๐ ku๐๐ช๐ข๐๐จ๐๐ a๐ข๐๐ฃ๐ ๐ฎ๐ ๐ln๐๐๐ ๐ฎ๐๐ฉ๐ช. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. ๐ฆ๐ฎ๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฆ๐๐น๐๐ต๐ ๐๐ฎ๐๐๐ฎ๐ป amewasihi Vijana kutokubali kushikiwa akili na kushawishiwa katika kuichoma na…




