Author: Jamhuri
Majaliwa ashiriki ibada ya kumuombea baba wa taifa hayati Nyerere
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Oktoba 14, 2025 ameshiriki katika Ibada ya kumuombea Baba wa Taifa Hayati Mwalimu. Julius Kambarage Nyerere iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Mtakatifu Francisko wa Asizi, Mwanjelwa Mkoani Mbeya. Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor…
Makamu wa Rais ashiriki ibada ya kumuombea baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA YA KUMUOMBEA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ASISITIZA WANANCHI KUENDELEA KUMUOMBEA NA KUENDELEZA MEMA ALIYOFANYA Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amewasihi Watanzania kuendelea kumuombea Baba wa Taifa…
Ujenzi wa daraja la 6 kwa urefu Tanzania la Pangani wafikia asilimia 74.3
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Ujenzi wa Daraja la Pangani lenye urefu wa mita 525 na Barabara unganishi na mchepuko zenye urefu wa Kilomita 25 hadi tarehe 30 Septemba 2025 umefikia asilimia 74.3 na kazi ambazo zimefanyika ni pamoja wa…
Dk Biteko amshukuru mama Samia kwa maendelso Bukombe
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bukombe kupitia Chama cha Mapinduzi, Dkt. Doto Mashaka Biteko amemshukuru Mwenyekiti wa CCM Taifa na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa maono na maelekezo yaliyowezesha utekelezaji wa…
Mzee Mwakilembe, Mast wainua shaba, Chunya yaongoza mageuzi
Zaidi ya Tani 810 zimezalishwa hadi sasa zenye thamani ya Bilioni 10.5, Serikali Yapokea Mil 594 Asema kuanzishwa Kiwanda Chunya, Waziri Mavunde na Uongozi wa Wizara walipambana Aiomba STAMICO kuzishawishi Taasisi za Fedha kuwakopesha wachimbaji kupitia Leseni Na Mwandishi Wetu,…
Mwenge waangaza miradi ya bilioni 30/-
Na Ruja Masewa, JamhuriMedia, Mbeya Mwenge wa Uhuru unepokelewa kwa shamrashamra kubwa mkoani hapa, huku ukiiangalia miradi ya shilingi Bilioni 30 za Kitanzania. Mwenge huo ulipokelewa leo Oktoba 13, 2025 katika Viwanja vya Hasanga, Uyole Mbeya, ukitokea Wilaya ya Rungwe,…