Author: Jamhuri
Tanzania, Comoro zaimarisha ushirikiano dhidi ya rushwa
MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Chrispin Chalamila amesema Tanzania na Comoro zitaendelea kushirikiana katika maeneo matano ikiwemo utawala bora. Chalamila amesema hayo Novemba 17, 2025 wakati alipotembelewa na ugeni kutoka nchini Comoro ulioongozwa na…
Tanzania yaibuka mshindi wa jumla maonesho ya wajasirimali wa Afrika Mashariki
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeibuka mshindi wa jumla kwenye maonesho ya 25 ya Wajasiliamali Wadogo na wa Kati wa Jumuiya ya Afrika Mashariki baada ya kampuni ya utengenezaji magari ya KAYPEE Motors kushinda kipengele cha mjasiliamali bora wa Afrika…





