Author: Jamhuri
Wadau wakutana kujadili utekelezaji mkakati wa nishati safi ya kupikia
📌Lengo ni kuharakisha utekelezaji wake Katika kuendeleza jitihada za kuimarisha utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Nishati Safi ya Kupikia wa mwaka 2024–2034, Jumuiya ya Wadau wa Nishati Jadidifu Tanzania (TAREA) na African Enterprise Challenge Fund (AECF), kwa kushirikiana na…
TIRDO yaibua wabunifu wa Afro Heal, wachakata mimea ya asili kuwa dawa za kisasa
Na Mwandishi wetu, JamhuriMedia,Dodoma Shirika la Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Tanzania (TIRDO) limeendelea kuonyesha mchango wake katika kukuza ubunifu na teknolojia nchini baada ya kuiwezesha kampuni ya Afro Heal Group Limited kubadili mimea ya asili kuwa dawa za kisasa…
Tanzania, Senegal zaimarisha ushirikiano wa sekta ya nishati
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nishati na Petroli wa Jamhuri ya Senegal, Mhe. Dkt. Elhadji Abdourahmane Diouf, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kimkakati kati ya Tanzania na Senegal katika maendeleo ya…
Tanzania, Uganda zatia saini makubaliano ya kuiendeleza Tanga kuwa kitovu cha nishati cha kikanda
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, na Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mheshimiwa Yoweri Kaguta Museveni, wameshuhudia utiaji saini wa Hati ya Makubaliano ya kuiendeleza Tanga kuwa kitovu cha nishati cha kikanda. Hati hiyo…





