JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

RITA yawapiga msasa wajumbe Bodi mpya ya wadhamini Kanisa la Waadventista Wasabato

Na Mwandishi wlWetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Kabidhi Wasii Mkuu na Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) Bw. Frank Kanyusi amewataka wajumbe wapya wa Bodi ya Wadhamini wa Kanisa la Waadventista Wasabato kutekeleza majukumu yao…

Tanzania yapokea magari ya zimamoto kutoka Japan kuimarisha huduma za uokoaji

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Japan, Mheshimiwa Anderson Mutatembwa, alipokea kwa niaba ya Serikali msaada wa magari matatu ya zimamoto na uokoaji yaliyotolewa na Taasisi ya Zimamoto ya Japan (Japan Firefighters Association). Magari hayo ni sehemu ya…

Serikali yaimarisha mazingira ya biashara na uwekezaji kukuza viwanda nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma SERIKALI imesisitiza azma yake ya kuendelea kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara na uwekezaji nchini ili kuchochea ukuaji wa sekta za viwanda, kuongeza fursa za ajira, na kukuza mchango wa kiuchumi wa sekta binafsi. Lengo…

Ulega : Shinyanga kupaa kiuchumi kupitia kiwanja cha ndege

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga ‎Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, amesema kukamilika kwa mradi wa upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Shinyanga kunatarajiwa kuchochea shughuli za kibiashara na uwekezaji, hatua itakayosaidia kuimarisha muunganiko wa kiuchumi kati ya mkoa huo na…