Author: Jamhuri
Kampeni ya Mama Samia kutua Zanzibar, talaka, mirathi na ukatili kupatiwa majawab
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Awamu ya Pili wa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia utakaofanyika Juni 20, 2026 katika…
Wadau wa madini wakumbushwa kuzingatia sheria kuongeza manufaa kwa Taifa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wadau wa Sekta ya Madini wamehimizwa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu zinazosimamia shughuli za madini ili kuhakikisha rasilimali hizo zinaendelea kuchangia maendeleo ya taifa na kunufaisha wananchi. Mwanasheria wa Tume ya Madini, Janeth Kanyasu, amesema…
Waziri Kikwete avutiwa na mfumo wa kupanga na kusimamia miradi REA
📌Asema REA Digital Platform ni mfumo wa kisasa kueleza miradi 📍Chinangali Park – Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete, amevutiwa na mfumo wa Kupanga na Kusimamia miradi ya…
Umeme upo wa kutosha; unaangaza maisha ya wananchi- Kikwete
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwan Kikwete ameipongeza Wizara ya Nishati na Taasisi zake kwa kuendelea kuhamasisha matumizi ya Nishati Safi kwa wananchi pamoja na kuimarika…
Mapambano kuenea kwa jangwa na ukame UNCCD, JET zataka maeneo ya malisho yatambuliwe
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Tanzania kupitia kwa Mwakilishi wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Barani Afrika kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kutokomeza Jangwa na Ukamwe (UNCCD) ambae pia ni Mwenyekiti wa chama cha Waandishi wa Habari za Mazingira Tanzania…
Aweso ausimamisha uongozi wa MWAUWASA
Na Mwandishi Wetu, Mwanza SERIKALI kupitia Waziri wa Maji Jumaa Aweso,imeusimamisha uongozi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mwanza (MWAUWASA), baada ya uzembe uliosababisha adha ya kukosa huduma ya maji kwa zaidi ya wiki mbili kwa wananchi wa…





