JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mchengerwa: Sitakubali kuhujumiwa

*Aapa kuilinda NHIF kwa nguvu zote dhidi ya wajanja *Kicheko matibabu saratani, safari za India kubaki historia *Malawi kuanza kuleta wagonjwa 1,900 Ocean Road Na Kulwa Karedia, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa, ameapa kupambana na magenge ya watu…

Rais Samia, Museveni malizeni kero tule maisha

Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo nimetoka kanisani. Ni Dominika ya Februari 8, 2026. Najua makala hii itachapishwa gazetini siku ya Jumanne Februari 10, 2026. Somo kuu katika Injili, imehojiwa kuwa “Chumvi ikiharibika itatiwa nini?” Baba Moses Mbilinyi…

Baridi kali jijini New York yasababisha vifo vya watu 18

Jumla ya watu 18 wamefariki dunia kutokana na kipindi cha baridi kali jijini New York, kwa mujibu wa meya wa jiji hilo. Tangu mwishoni mwa Januari, jiji hilo limekumbwa na wimbi la baridi kali, likiwemo siku 13 mfululizo ambapo joto…

Urusi yaishambulia Ukraine kwa droni na makombora

Jeshi la anga la Ukraine limesema Urusi ilikuwa imerusha makombora 11 na droni 149 ikiwa ni pamoja na ndege za kivita aina ya Shahed zilizotengenezwa nchini Iran. Maafisa nchini Ukraine wamesema leo kwamba mashambulizi ya droni na makombora ya Urusi…

Zanzibar kujenga Taasisi ya Saratani

Na Mwandishi Wetu ,Zanzibar KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar, Dkt. Mngereza Mzee Miraji, amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepanga kuanza ujenzi wa Taasisi ya Saratani Zanzibar mwaka huu, ujenzi ambao unatarajiwa kukamilika ndani ya kipindi cha miaka…