JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mwanza yazidi kung’ara kupitia miradi ya umwagiliaji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, inaendea kuinua hadhi ya Mkoa wa Mwanza, kupitia utekelezaji wa Miradi ya Umwagiliaji kutokana na wananchi kuanza kunufaika na ujenzi wa Skimu ya Umwagiliaji ya Mahiga. Mradi huo…

Tanzania yataja mafanikio ya nishati safi ya kupikia katika Jukwaa la Kimataifa la Irena -Abu Dhabi

*Upatikanaji wa Nishati Safi ya Kupikia waongezeka zaidi ya mara tatu ndani ya kipindi cha miaka minne pekee *Yasema ipo tayari kushirikiana na Taasisi za Kimataifa zinazotoa ufadhili kwa nia ya kupunguza matumizi ya nishati isiyo safi ya kupikia hasa…

Bandari ya Pemba kufungua zaidi milango ya utalii

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pemba Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf Masauni amesema Pemba ina vivutio vingi vya utalii hivyo ujenzi wa Bandari ya Mkoani, Pemba itafungua zaidi milango katika sekta…

Wananchi Kahama wamshukuru Rais Samia kuwafikishia umeme wa REA

📌Vijiji vyote 246 na Vitongoji 479 Kahama vimefikiwa 📌Shughuli za kiuchumi na kijamii zimeimarika 📌Naibu Waziri Salome awahakikishia vitongoji vyote vilivyobakia vitafikiwa 📌Awasisitiza kutunza na kulinda miundombinu ya umeme 📍Kahama – Shinyanga Wananchi Kata za Wendele na Mwendakulima Wilaya ya…