JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dk Dugange : Watanzania wapande miti kila mwaka angalau mmoja

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma NAIBU Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Festo Dugange ametoa rai kwa kila Mtanzania kupanda mti angalau mmoja kila mwaka anapoadhimisha kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ili kuleta chachu katika hifadhi…

Jamii yaaswa kutowaficha wagonjwa wa ukoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Afya Mohamed Mchengerwa ameiasa jamii kuachana na dhana potofu ya kuficha wagonjwa wa Ukoma na kujitokeza wanapobaini viashiria vya ugonjwa huo ili kurahisisha jitihada za Serikali kutokomeza ugonjwa huo nchini. Waziri Mchengerwa alisema…

Waziri Mkuu ashiriki zoezi la upandaji miti Dodoma

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 27, 2026 ameshiriki zoezi la upandaji miti, mbele ya ofisi ya Waziri Mkuu Mlimwa Jijini Dodoma. Zoezi hilo ni sehemu ya hatua ya kumuunga mkono Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt….

Watu bilioni 3.8 kukumbana na joto kali ifikapo 2050

Wanasayansi wameonya leo kwamba karibu watu bilioni 3.8 duniani, huenda wakakabiliwa na joto kali zaidi ifikapo mwaka 2050 huku nchi za ukanda wa Tropiki zikitarajiwa kuathirika zaidi. Wanasayasni wameonya leo kwamba karibu watu bilioni 3.8 duniani, huenda wakakabiliwa na joto…