Author: Jamhuri
Meya Kibaha kuchimba visima vinne kupunguza kero ya maji Pangani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba wa maji safi na salama hali inayowalazimu kutumia maji ya mtoni, madimbwi na kununua maji kwa wananchi…
Huduma za malezi ya kambo zimeongezeka
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imezitaka familia zenye uhitaji wa kutoa huduma ya malezi ya kambo na kuasili kuwasilisha maombi yao kwa kamishna wa ustawi wa jamii kupitia…
Balozi Dk Migiro afanya mazungumzo na Balozi wa China Tanzania
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro, leo Jumatatu, Desemba 22, 2025, amefanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania, Mheshimiwa Chen Mingjian, katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM, Lumumba,…
Dk Natu: Tanzania, UNICEF kuendeleza ushirikiano
Na. Joseph Mahumi, WF, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Watoto (UNICEF) anayehusika na Programu, Bi. Patricia Safi Lombo,…
Muonekano majengo ya Kampasi ya Lindi ya UDSM, Dk Mwigulu aweka jiwe la msingi
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Kampasi ya Lindi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), katika hafla iliyofanyika eneo la Ngongo, Manispaa ya Lindi. Ujenzi wa kampasi hiyo,…
Polisi wa Utalii’ waimarisha usalama, imani kwa wageni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Kukua kwa kasi na kuimarika kwa sekta ya utalii nchini kunachagizwa kwa kiwango fulani na kuwapo kwa huduma bora za kijamii, ikiwemo uhakika wa usalama kwa wageni.Tanzania ni moja ya mataifa yenye kuvutia utalii wa…





