Author: Jamhuri
William Ruto aipongeza NSSF Tanzania kwa uwekezaji wa Dola zaidi ya milioni 51/- Nairobi
Na Mwandishi Wetu Rais wa Kenya, Dkt. William Ruto, ameusifu uwekezaji wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) wa Tanzania unaoendelea jijini Nairobi, akisema ni mfano bora wa matumizi sahihi ya akiba za wanachama katika kukuza uchumi na…
Walimu 150 wa amali waliohudhuria mafunzo India warejea, Prof. Shemdoe amshukuru Rais Samia
Na OWM – TAMISEMI, Dodoma Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda wamewapokea walimu wapatao 150 wa amali…
Chamwino yapata mwanga mpya wa usalama kupitia Polisi jamii Morogoro
Mkuu wa Polisi Jamii Mkoa wa Morogoro (ACP) Samwel Kijanga, amehudhuria mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Chamwino, Wilaya ya Morogoro kwa niaba ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro. Mkutano huo umehudhuriwa na viongozi mbalimbaliwakiwemo viongozi wa dini,…
DC Ubungo aagiza ushirikishwaji wa Zimamoto katika ujenzi kupunguza majanga
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMediaDar es Salaam Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Albert Msando, amezitaka Wakala wa Barabara Mijini na Vijini TARURA,Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhusisha Jeshi la Zimamoto…
Handeni Mji yapiga hatua kudhibiti utapiamlo kwa watoto
*Watoto wanaolazwa wapungua kutoka 32 hadi 7 kwa robo mwaka Na Augusta Njoji IDADI ya watoto wanaokabiliwa na utapiamlo mkali katika Halmashauri ya Mji Handeni imepungua kwa kiasi kikubwa, kutoka watoto 32 waliokuwa wakilazwa hospitalini kwa robo mwaka 2024/25 hadi…





