JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kunenge – IPOSA ilete matokeo na kuacha alama Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameagiza Idara ya Elimu mkoani humo kusimamia utekelezaji wa Mpango wa Elimu Changamani kwa Vijana walio nje ya Mfumo Rasmi wa Elimu (IPOSA), akisisitiza kuwa lazima mpango huo…

Sumaye: Samia ni mvumilivu, CCM haianguki

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Manyara Mratibu wa Kampeni Kanda ya Kaskazini na Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema mgombea urais wa CCM, Samia Suluhu Hassan ni kiongozi mvumilivu mno. Sumaye ametoa kauli hiyo wakati akisalimia maelfu ya wananchi wa Manyara wakati wa…

Dk Samia apokelewa kwa shangwe Babati, wananchi wamuahidi kumpa kura

Tayari Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂 𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 amewasili na kupokelewa na Viongozi wa CCM na Jumuiya zake, Viongozi wa dini, Machifu, Wazee na…

Madaktari MOI, Muhimbili wapiga

kambi Comoro matibabu ya kibingwa ….Wamo pia wa JKCI, Ocean Road na Benjamin Mkapa Na Mwandishi Wetu HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili (MNH) na Taasisi ya Mifupa (MOI) ni miongoni mwa hospitali zilizopeleka mdaktari wake bingwa kwenye kambi ya wiki…

15 mbaroni kwa tuhuma za mauaji Ruvuma

Na Cresensia Kapinga, Jamuhuri,Songea JESHI la Polisi Mkoani Ruvuma linawashikilia watu 15 kwa tuhuma za mauaji ya Watu watano na wengine watatu kujeruhiwa katika tukio la mapigano ya wakulima na Jamii ya wafugaji. Watuhumiwa waliokamatwa majina yao yamehifadhiwa ambao wanaendelea…

Majaliwa awasili viwanja vya shule Ushirombo kusherehekea Siku ya Mwalimu Bukombe

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa tayari amewasili kwenye viwanja vya shule ya sekondari Ushirombo kusherehekea siku ya Mwalimu- Bukombe. Mhe. Kassim Majaliwa ambaye ni mgeni rasmi katika siku ya mwalimu – Bukombe amewasili katika…