Author: Jamhuri
Watu 200 wafanyiwa uchunguzi wa kisukari bure hospitali ya Shifaa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam ZAIDI ya watu 200 wamenufaika na uchunguzi wa kisukari bure uliofanywa na hospitali ya Shifaa ya Kinondoni jijijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya kisukari duniani Hayo yamesemwa…
Waziri Gwajima ataka kasi zaidi
Na Abdala Sifi WMJJWM- Dodoma Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amewataka watumishi wa Wizara hiyo kuongeza bidii na kasi zaidi kwenye kutimiza wajibu wao ili kuharakisha maendeleo ya jamii. Dkt Gwajima…
Adakwa na Polisi kwa tuhuma za kujiteka Tabora
Na Allan Kitwe, Tabora JESHI la Polisi mkoani Tabora linamshikilia Hadija Jimmy Mrijo (39) mpare, kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo kuwa ametekwa na watu wasiojulikana ili ajipatie fedha isivyo halali kutoka kwa mume wake. Kamanda wa Polisi Mkoani…




