Author: Jamhuri
Binti wa miaka 25 akomba bidhaa zote kwenye mnada wa kidijitali wa Piku
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Binti wa miaka 25 kutoka Kimara Baruti jijini Dar es Salaam, Jenipher Ayubu amefanikiwa shindia bidhaa kwenye minada mitatu yenye thamani ya zaidi ya Milioni kupitia jukwaa jipya la kidigitali la Piku. Jukwaa…
Dodoma kutangazwa kimataifa kupitia mkakati mpya wa utalii
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Katika mwamko mpya wa kuipeleka Dodoma kimataifa na kuileta dunia Dodoma, Serikali imezindua Mpango Mkakati wa Kuendeleza Utalii wa Mkoa wa Dodoma huku ikipendekeza kuanzishwa kwa Kijiji cha Utalii wa Wagogo kitakachohifadhi na kuonyesha nyimbo, mavazi, mapishi…
Serikali yatenga Bil. 50/- kuanzisha Kituo cha mafunzo ya vitendo Chuo cha NIT
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imetenga Shilingi Bilioni 50 kwa ajili ya kuanzisha Kituo cha Umahiri cha Usafiri wa Anga na Operesheni za Usafirishaji katika Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), hatua inayolenga kuongeza wataalamu na kuboresha…
Mradi wa TACTIC waleta neema kwa wananchi Manispaa Songea
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Wananchi wa Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wameanza kunufaika na uboreshaji wa miundombinu kupitia Mradi wa Uendelezaji Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC), unaotekelezwa chini ya Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa mkopo…
Rais Samia kujenga kituo kikubwa Dodoma cha kusambaza umeme nchini – Dk Biteko
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amemshukuru Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kufanya kazi kubwa ya mfano katika sekta ya Nishati ambapo amesema Mkoa wa Dodoma muda si mrefu utakuwa ni kitovu cha usambazaji…
JKCI yaonyesha matumaini kwa wazazi wa watoto wenye shida ya moyo Sinyanga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Shinyanga Changamoto ya kiuchumi kwa jamii imekuwa ni kikwazo kwa baadhi watoto kuendelea na matibabu ya moyo hali iliyosababisha kuchelewa kupata matibabu ambayo yangeokoa maisha yao. Hayo yamesemwa jana na daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa…