JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Serikali, wadau kuimarisha mikakati kuboresha huduma za uuguzi, ukunga nchini

Na Zakayo Mosha, WAF – Dodoma Wizara ya Afya kwa kushirikiana na Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI imeandaa Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Wauguzi Viongozi ngazi ya Mikoa, Halmashauri, Hospitali ya Taifa, Hospitali za Kanda, Hospitali za Rufaa za Mikoa,…

Wanamichezo wa kimataifa kushawishi uwekezaji nchini

Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Gerson Msigwa amesema kuwa ujio wa wanamichezo wa kimataifa nchini Tanzania akiwemo Mchezaji na Nahodha wa zamani wa Klabu ya Manchester United na timu…

CCM, CPC na vyama vya ukombozi Afrika waimarisha ushirikiano wa maendeleo

CCM leo imekuwa mwenyeji wa mkutano kati ya Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) na Vyama Sita Rafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika uliofanyika katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu Julius Nyerere (MJNLS), Kibaha. Mkutano huo chini ya wenyeji wa…

Rais Samia akutana na Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti China

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Waziri wa Idara ya Kimataifa ya Chama cha Kikomunisti cha China Mhe. Liu Haixing pamoja na ujumbe wake, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 20 Mei,…

Tanzania yasisitiza ushirikiano kikanda kuongeza thamani ya almasi

Tanzania imesisitiza umuhimu wa ushirikiano wa Kikanda katika kuongeza thamani Madini ya Almasi, uwazi katika usimamizi wa rasilimali madini na kuimarisha mchango wa Sekta ya Madini katika maendeleo ya uchumi wa nchi wanachama Zinazozalisha Madini ya Almasi Afrika (ADPA). Hayo…

TANROADS yarejesha barabara zilizoathiriwa na mafuriko

Na Mwandishi Wetu, Dodoma WAKALA wa Barabara Tanzania (TANROADS) umeendelea kutekeleza kazi kubwa ya kurejesha miundombinu ya barabara na madaraja iliyoharibiwa na mvua za El-Nino pamoja na Kimbunga Hidaya, hatua iliyosaidia kurejesha mawasiliano na shughuli za kijamii na kiuchumi katika…