Author: Jamhuri
‘Wataalam waliostaafu kuendelea kutumika katika ujenzi, matengenezo ya barabara’
Wizara ya Ujenzi kupitia taasisi zake ERB na TANROADS inaandaa utaratibu wa kutumia wataalam wa ndani waliostaafu katika ujenzi na matengenezo ya barabara. Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi…
Rais Dk Samia kufanya ziara nchini Korea kwa siku sita
Na Magrethy Katengu, JamuhuriMedia, Dar es Salaam Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea siku sita kuanzia Mei 30,2024 Akitoa taarifa hiyo leo Jijini Dar es salaam Mei 29,2024…
Gavana Bwanku apokea miche ya miti 500 kutoka TFS, adhamiria Katerero kuwa kijani
TFS inamuunga mkono vyema Rais Samia kulinda mazingira kupitia upandaji miti. Afisa Tarafa wa Tarafa ya Katerero iliyopo Bukoba mkoani Kagera Ndugu Bwanku M Bwanku leo Jumatano Mei 29, 2024 amepokea jumla ya miche ya miti 500 kutoka kwa Wakala…





