JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ongea na Mwanao, mwimbaji wa injili Christina Shusho kushiriki tamasha la mtoko wa Pasaka

Na Magrethy Katengu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao imetangaza kuunga mkono juhudi za mwimbaji mashuhuri wa nyimbo za injili, Christina Shusho, katika maandalizi ya tamasha la Mtoko wa Pasaka linalotarajiwa kufanyika Aprili 20 katika ukumbi…

Waziri Ndumbaro : Ukatili wa kijinsia Tanga ni changamoto kubwa

Na Ashrack Miraji, JamuhuriMedia, Tanga WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro, amezitaka familia, viongozi wa dini, na uongozi wa Mkoa wa Tanga kuanzisha mikakati madhubuti ya kupambana na ukatili wa kijinsia, ili kukomesha tatizo ambalo limekuwa ni changamoto…

RC Sendiga anavyokabiliana na mgogoro wa ardhi ili kurudisha ekari 1,784 kwa wananchi

Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Manyara Unapozungumzia mgogoro wowote wa ardhi hapa unatakiwa kwanza kabisa kujua nini maana halisi ya ardhi ambayo ni sehemu ambayo ipo juu na chini ya uso wa nchi pamoja na mimea inayoota au kupandwa juu yake,…

JKCI yapata tuzo utoaji huduma bora za afya 2025

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imepata tuzo ya ushindi wa utoaji wa huduma bora za afya kwa mwaka 2025 katika kundi la Hospitali maalum na Taifa. Tuzo hiyo imetolewa leo na Waziri…

Kada wa CHADEMA amuomba msajili wa vyama vya siasa kutengua maamuzi Baraza Kuu la chama

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Mwanga, Lembrus Mchome amemuomba Msajili wa vyama vya siasa kutengua maamuzi ya Baraza Kuu la chama hicho yaliyofanyika Januari 22, 2025. Akizungumza na…