Author: Jamhuri
Mchatta: Walimu wa kiingereza watakiwa kusambaza ujuzi wa somo hilo kwa wengine
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Katibu tawala wa Mkoa wa Pwani, Rashid Mchatta ametoa wito kwa Walimu wa msingi wa somo la Kiingereza (English) ,kusambaza ujuzi wa somo hilo kwa walimu wenzao katika kipindi hiki ambacho Serikali inatarajia kutekeleza mtaala…
Angalia matokeo darasa la saba 2023
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA), leo Novemba 23, 2023 limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba uliofanyika Septemba 13- 14 mwaka huu. Katika matokeo hayo jumla ya watahiniwa 1, 092, 960 sawa na asilimia 80.58 ya watahiniwa 1, 356,…
Waziri Mkuu aweka jiwe la msingi ujenzi wa Hospitali Wilaya ya Songwe
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe, Novemba 23, 2023. Wa tatu kushoto ni Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel. Waziri Mkuu pamoja na viongozi wakipiga makofi baada…
NMB yazindua tawi lake Dumila Morogoro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro WANANCHI wa Mji wa Dumila wilaya ya Kilosa wameondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kati ya kilometa 35 hadi 70 kufuata huduma za kibenki, baada ya benki ya NMB kufungua tawi la NMB Dumila….
TAMWA Zanzibar yakemea udhalilishaji wa watoto kupitia mitandao ya kijamii
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania Zanzibar (TAMWA –ZNZ) kinaiasa jamii kujizuia kurekodi watoto wadogo na kuwaweka katika mitandao baada ya kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji kwani kufanya hivyo ni kuwadhalilisha zaidi. Dkt. Mzuri Issa, ni mkurungenzi…
Naibu Waziri Marryprisca awataka wamanchi kutunza vyanzo vya maji
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Namtumbo NAIBU Waziri wa Maji Mhandisi Marryprisca Mahundi ambaye pia ni Mbunge wa viti maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), amewataka wananchi kutunza vyanzo vya maji na amewaonya baadhi ya watu wanaojihusisha na uharibifu wa mazingira…