Author: Jamhuri
Serikali yaiwezesha MSD kusambaza vifaa tiba, dawa Simiyu Simiyu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Simiyu BOHARI ya Dawa (MSD), Kanda ya Mwanza kupitia Serikali imeendelea na usambazaji wa bidhaa za afya katika Mkoa wa Simiyu Wilaya ya Itilima, licha ya changamoto zinazosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mkoani humo na…
RC Chalamila aridhishwa na ujenzi wa shule ya sekondari ya Mvuti
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Novemba 20, 2023 amefanya ziara kukagua ujenzi wa shule ya sekondari Mvuti iliyopo kata ya Msongola-Ilala na kupongeza ujenzi huo wa kisasa. Mhe….
Biteko aiagiza TPDC kuandaa mpango wa muda mrefu wa upatikanaji gesi
📌Aitaka pia kukagua ushuru wa huduma unaotolewa kwa Halmashauri Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ameagiza Bodi na Menejimenti ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kuja na mpango wa…
Naibu Waziri Kikwete afungua mafunzo ya mfumo mpya wa utendajikazi kwa watumishi wa umma Iringa
Na Lusungu Helela, JamhuriMedia, Iringa Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete amefungua mafunzo ya mfumo mpya wa usimamizi wa utendaji kazi wa mtumishi na taasisi katika utumishi wa umma (PEPMIS…
Avitaka vikundi vya ushirika vya wachakata dagaa kuongeza thamani ya bidhaa hiyo
Mkurugenzi Msaidizi wa Kituo cha oparesheni na mawasiliano ya dharula kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na uratibu Bw. Prudence Consintatine Viongozi mbalimbali wakishiriki hafla ya kukabidhi miundo mbinu ya vichanja vya kukaushia dagaa ………………………………………………………………… Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,…
Wananchi Mtaa wa Chimalaa, Ntyuka waiomba Serikali kuwasimamia kulipwa fidia
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma ZAIDI ya Wananchi 152 wa Mitaa ya Chimala na Ntyuka Jijini Dodoma wamelalamikia Wakala wa Barabara nchini (TANROAD )Mkoa wa Dodoma kwa kutolipwa fidia baada ya kupisha ujenzi wa Barabara licha ya Wakala huo,kuwafanyia uthamini tangu Mwaka…