JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Rais Saimia ashiriki Mkutano wa 23 wa kimataifa wa Baraza la Utalii Duniani

Kigali- Rwanda Habari picha za matukio mbalimbali Rais Samia akishiriki Mkutano wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani ulifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kigali KICC leo Novemba 02, 2023.

Askari wa usalama barabarani wawashikia rungu madereva wafuate sheria

Na Mwamvua Mwinyi, JAMHURI MEDIA Pwani. Mkuu wa Operation wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Kamishna Msaidizi wa Polisi ,Nassoro Sisiwaya amewaasa madereva wa vyombo vya moto kufuata sheria za usalama barabarani ili kuepuka ajali za mara kwa mara. Ameyasema…

Wakuu wa vyuo, waratibu dawati la jinsia 612 kupigwa msasa kupambana na ukatili vyuoni.

Na WMJJWM Iringa Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum imesema imejipanga kutoa elimu kwa Wakuu wa Vyuo na Waratibu wa Dawati la Jinsia kutoka Vyuo Vikuu na Kati 612 ili kupambana na vitendo vya…

JKCI yapewa tuzo ya umahiri wa kupambana na magonjwa yasiyoambukiza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)  imepokea tuzo ya umahiri kutokana na jitihada zake na kuelimisha jamii jinsi ya kujiepusha na magonjwa yasiyoambukiza pamoja na kutoa huduma ya upimaji na matibabu ya magonjwa…

Serikali yazindua kampeni ya Tumekusikia,Tumekufikia kutangaza shughuli za Serikali

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Wizara ya Habari,Mawasiliano na Technolojia ya Habari imezindua Kampeni ya Tumewasikia Tumewafikia ambayo itakwenda nchi nzima kufahamisha umma kazi kubwa iliyofanywa na inayoendelea kufanywa na serikali ya awamu sita kwenye sekta za maji, afya, miuondombinu…

Madaktari wa watoto wapewa mafunzo maalum ya kufanya kipimo jinsi moyo unavyofanyakazi

Na Mwandishi Maalumu – Dar es Salaam Madaktari 22 wanaotoa huduma kwa watoto kutoka Tanzania na nje ya nchi wanashiriki mafunzo maalumu ya awali ya namna ya kufanya kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiograph – ECHO) kwa watoto….