Author: Jamhuri
Trump kukutana na viongozi wa mataifa matano ya Afrika
Rais Donald Trump wa Marekani atakutana na viongozi kutoka mataifa matano ya Afrika mjini Washington wiki ijayo, kujadiliana ‘fursa za kibiashara’ kwa mujibu wa Ikulu ya White House. Trump atakutana na viongozi wa Gabon, Guinea-Bissau, Liberia, Mauritania na Senegal kwa…
93 wachukua fomu ya ubunge, wawania majimbo tisa Mkoa wa Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Jumla ya wanachama 93 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamechukua fomu za kugombea ubunge katika majimbo tisa ya Mkoa wa Pwani ambapo kati yao, wanawake ni 22 na wanaume ni 71. Katibu wa Siasa, Uenezi…
TIA yaendelea kusogeza huduma zake karibu na wananchi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TAASISI ya Uhasibu Tanzania (TIA), imeandaa mkutano mkubwa wa kitaaluma utakaofanyika hivi karibuni mkoani Mwanza wenye lengo la kuelezea tafiti mbalimbali zilizofanywa na wataalamu wa taasisi hiyo. Kadhalika, imesema imeendelea kufungua kampasi kwenye…
Mradi wa bilioni 2.4 watatua kero ya maji Moshi, wananchi 230, 784 kunufaika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Moshi Zaidi ya wakazi 230,784 wa kata tisa katika Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, wameondokana na changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama baada ya kukamilika kwa mradi mkubwa wa maji wa Karanga Darajani uliogharimu…
Ruhundwa alitaka Jimbo la Ngara
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ngara Katika kile kinachoonekana kuwa kiu ya kuwatumikia Wanangara na kuifanya Ngara kuwa kubwa kwenye ramani ya dunia, Hilali Alexander Ruhundwa amejitosa kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Ngara kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Akielezea maono…
Mhasibu Mkuu Tanga achukua fomu ya Ubunge kuwania Kilwa Kusini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilwa Mhasibu Mkuu Mkoa wa Tanga, Ahmed Bongi amejitosa katika kinyang’anyiro cha kuwania kuteuliwa nafasi ya Ubunge Jimbo la Kilwa Kusini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Bongi ambaye alikuwa Mhasibu Mkuu Mkoa wa Lindi kabla ya…