Author: Jamhuri
Dk Biteko ampongeza Ridhiwani kufikia utekelezaji wa ilani asilimia 96 Chalinze
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati ,Dotto Biteko, ametoa rai kwa wana-CCM kufanya siasa za kubadilisha maisha ya Watanzania katika kuwaletea maendeleo badala ya kufanya siasa za maneno matupu zisizojibu hoja. Aidha amewaasa watumishi…
Benki ya NMB tayari kutoa mikopo kidigitali kwa watumishi wa umma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha BENKI ya NMB PLC imebainisha mipango yake ya kuanzisha mfumo wa uthibitishwaji wa maombi ya mikopo kwa njia ya kidigitali kwa wafanyakazi wa umma maarufu kama mchakato wa “E-Mkopo”. Mkaguzi Mkuu wa ndani wa Benki ya…
ACT Wazalendo walia ukatili kwa mtoto wa kike
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar ea Salaam Chama cha ACT Wazalendo kimetoa wito kwa Serikali na vyombo vyake vya dola kupunguza muda wa uendeshaji wa kesi za ukatili dhidi ya watoto na wanawake. Chama hicho kimependekeza muda wa uendeshwaji wa…
Wilaya za Songwe kuunganishwa kwa lami
*Mhandisi Kasekenya aeleza mikakati kukabiliana na athari za mvua kubwa Vwawa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songwe Songwe, moja ya mikoa ya kimkakati nchini, imedhamiria kuziunganisha wilaya zake nne kwa mtandao wa barabara za lami. Mkoa huo unaoiunganisha Tanzania na nchi…
Mloganzila yaanzisha huduma ya kurekebisha muonekano wa mwili
Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa mara ya kwanza nchini itafanya huduma za kibingwa bobezi za upasuaji wa kupunguza uzito na upasuaji rekebishi (Bariatric and Reconstructive surgery) kuanzia tarehe 27.10.2023. Mkuu wa Idara ya Upasuaji Dkt. Eric Muhumba amesema upasuaji huo…
UN : Biashara na matumizi dawa za kulevya ni uhalifu dhidi ya utu na heshima ya binadamu
*Guterres asema nchi nyingi zenye kipato cha chini zina mifumo dhaifu TANGU mwaka 1989, Jumuiya ya Kimataifa imekuwa ikiadhimisha Siku ya Kupambana na Biashara na Matumizi Haramu ya Dawa za Kulevya Duniani kila Juni 26. Ofisi ya Umoja wa Mataifa…