Author: Jamhuri
Washindi wa Piku Afrika waeleza furaha yao baada ya kujinyakulia zawadi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WASHINDI wawili wa promosheni ya Piku Afrika, jukwaa la kidijitali linaloendesha minada ya kipekee mtandaoni, wameeleza furaha yao baada ya kujinyakulia zawadi mbalimbali zenye thamani kubwa kupitia mfumo huo wa mnada wa kidijitali….
Doyo: Ichagueni NLD, ilete mabadiliko Ruvuma, viwanda vilivyofungwa vitafunguliwa
Na Mwandishi Wetu, Ruvuma Msafara wa mgombea urais kupitia Chama cha National League for Democracy (NLD), Mhe. Doyo Hassan Doyo, umewasili katika wilaya ya Tunduru, mkoa wa Ruvuma, ambapo umefanya mkutano mkubwa wa kampeni. Akihutubia wananchi wa Tunduru mjini katika…
Polisi : Tunawasaka wanaotumia mitandao ya kijamii kwa nia ovu
Jeshi la Polisi nchini Tanzania limewahakikishia Watanzania wote kuwa litaendelea kuwasaka, kuwakamata na kuwafikisha katika Mamlaka nyingine za haki Jinai wale wote ambao kupitia mitandao mbalimbali ya Kijamii wa mekuwa na tabia ya kutengeneza, kuandika na kusambaza maandishi na picha…
Samia ahimiza amani, Watanzania milioni 45 washuhudia mikutano yeke
Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dodoma Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewasisitiza Watanzania kuwa kila mmoja awe mlinzi wa amani. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amesema…
Mgombea Yusufu wa AAFP aahidi kutatua ikiwemo madawati shuleni,mujenga kituo cha afya Mtongani
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es salaam Mgombea Ubunge Jimbo la Temeke kwa tiketi ya cha AAFP Yusufu Rai amewaomba Wananchi kumpa kura ifikapo Octoba 29,2025 kwa kishindo atakwenda kuwatatulia kero zinazowakabili ikiwemo kuondoa kero ya Wanafunzi kukaa chini Baadhi ya Shule…