Author: Jamhuri
Israel yaendeleza mashambulizi Ukanda wa Gaza
Mashambulio ya Israel yasababisha mauaji ya watu wawili akiwemo muandishi habari na kuwajeruhi wengine tisa, Ukanda wa Gaza. Israel imeshambulia mahema yanayotumiwa kama makaazi na Wapalestina katika Ukanda wa Gaza ,nje ya hospitali mbili kubwa kwenye Ukanda huo na kuua…
Wapalestina waliouawa Gaza wafikia 50,700
Watu wasiopungua 15 ikiwemo mwandishi habari mmoja wameuawa leo kwenye Ukanda wa Gaza kutokana na mashambulizi ya vikosi vya Israel na kufanya idadi ya Wapalestina waliouawa tangu Oktoba 2023 kupindukia 50,000. Taarifa kutoka Ukanda wa Gaza zinasema vikosi vya Israel…
Profesa Lipumba atoa ya moyoni kuhusu bajeti
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar Salaam MWENYEKITI wa Chama Wananchi (CUF), Prof. Ibrahimu Lipumba ameshauri ili kuwatendea haki Watanzania hotuba ya Waziri Mkuu kuhusu bajeti ianze kutolewa ufafanuzi wa kwa nini malengo ya mpango wa tatu wa maendeleo hayajafikiwa licha ya…
Tuzo za Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kufanyika Aprili 13,2025
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu ambayo inalenga kuendelea kuchochea uandishi wa vitabu, usomaji na kukuza matumizi ya lugha ya…
Mvua kubwa yauwa zaidi ya watu 30 Kinshasa
MVUA kubwa iliyonyesha kwenye mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kinshasa imewauwa karibu watu 30 na kusababisha kuharibu mkubwa katika mji huo mkubwa. Watu wengine wamejeruhiwa vibaya na kuhamishiwa kwingine. Waziri wa Afya ya umma wa moa wa…
Serikali yajizatiti kukabiliana na changamoto ya wanyama wakali na waharibifu
Na Mwandishi Wetu Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imejizatiti kukabiliana na changamoto ya wanyama wakali na waharibifu kwa kutumia mbinu mbalimbali ikiwemo matumizi ya teknolojia za kisasa ili kulinda uhai wa wananchi na mali zao. Haya yalisemwa na…