JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Watafiti wasisitizwa ushiriki jopo la Kimataifa la Sayansi na Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabia nchi

KAIMU Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na Makamu Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa la Sayansi ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa na Tabianchi, Dkt. Ladislaus Chang’a amewasisitiza watafiti mbalimbali nchini kutumia fursa zilizopo katika Jopo hilo…

CCBRT yawapima afya wafanyakazi NMB, wateja Dar

Na Mwandishi Wetu Madaktari bingwa kutoka Hospitali ya CCBRT wameishauri jamii kujenga tabia ya kupima afya mara kwa mara. Hayo yamebainishwa na Dk. Gaspa Shayo wakati zoezi la kupima afya za wafanyakazi na wateja wa Benki ya NMB likilofanyika Makao…

CBE yafanya uwekezaji mkubwa vipimo na viwango

*Wanafunzi wa vipimo kusoma kwa vitendo zaidi Na Mwandishi Wetu CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimefanya uwekezaji mkubwa wa vifaa vya kisasa kwenye idara yake ya vipimo na viwango hususan kwenye upimaji wa mafuta ya vyombo vya moto. Hayo…

DKT. Mwinyi azindua ubalozi wa Tanzania Cuba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.  Dkt. Hussein Ali Mwinyi amezindua Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Havana nchini Cuba katika hafla maalum iliyofanyika jijini Havana tarehe 14 Septemba 2023. Akizungumza katika uzinduzi wa Ubalozi huo…

TRA Dodoma yazindua kampeni ya Tuwajibike awamu ya pili kuwakumbusha wafanyabiasha kutumia EFD

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma MAMLAKA ya mapato Tanzania Mkoa wa Dodoma(TRA) kupitia kampeni yake ya Tuwajibike imewashauri wafanyabiasha kuwa na mwamko na utamaduni wa kutoa risiti pindi wanapofanya mauzo ili kusaidia kuongeza mapato ya Serikali. Hayo yameelezwa leo September 15,2023…

TASWA Media Day bonanza kufanyika Desemba 9,2023

Tamasha maalum kwa ajili ya wadau mbalimbali kutoka vyombo vya habari ‘TASWA Media Day Bonanza’ linatarajiwa kufanyika Desemba 9, 2023. Lengo la bonanza hilo linaloandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ni kuwaweka pamoja kubadilishana mawazo na…