Author: Jamhuri
Marekani yatoa msaada wa mahema kusaidia uhifadhi faru weupe
Katika kuendeleza juhudi za kuimarisha uhifadhi na ulinzi wa rasilimali za Wanyamapori, Taasisi ya Caribbean Naples Zoo kutoka Nchini Marekani imetoa msaada wa mahema kumi (10) kwa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa lengo la kuimarisha shughuli za uhifadhi…
Mpina : Ninaifahamu kwa kina mizigo ya Watanzania nakwenda Ikulu kuitatua
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, amesema anaifahamu kwa kina mizigo ya Watanzania, ikiwemo changamoto za kilimo, ufugaji, biashara, uchimbaji madini, bodaboda na kusisitiza kuwa amedhamiria kuyatatua mara atakapochaguliwa. Akizungumza…
Kasi ndogo ya utekelezaji mradi wa umeme Chalinze – Dodoma yamkasirisha Dk Biteko
📌 Asikitishwa mradi huo aliouzindua Novemba 2024 kuwa nyuma kwa asilimia Saba 📌 Asema Rais Samia alitoa agizo mradi usichezewe kutokana na umuhimu wake katika mikoa mbalimbali ikiwemo ya Magharibi 📌 Asema sababu zilizotolewa na mkandarasi (TBEA) za kusuasua kwa…
Dk Biteko kuzindua teknolojia ya kuondoa uvimbe bila upasuaji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NAIBU Waziri Mkuu, Dotto Biteko anatarajiwa kuzindua teknolojia mpya ya kuondoa uvimbe mwilini bila upasuaji inayofahamika kama High-Intensity Focused Ultrasound (HIFU). Uzinduzi wa teknolojia hiyo utafanyika tarehe 26 mwezi huu kwenye hospitali ya…
TANROADS Ruvuma yaahidi kukamilisha haraka ujenzi wa daraja Mitomoni, bil. 9.2 kutumika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Songea Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Ruvuma,imeanza ujenzi wa daraja la Mitomoni katika Mto Ruvuma lenye urefu wa mita 45 ambalo litaunganisha Wilaya ya Nyasa na Songea. Meneja wa TANROADS mkoani Ruvuma Mhandisi Saleh…
Wakulima Ruvuma watakiwa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mbinga Wakulima Mkoani Ruvuma,wametakiwa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti na wataalamu ili waweze kupata mazao mengi na bora na kupata soko la uhakika, badala ya kutumia mbegu zinazouzwa mitaani. Wito huo umetolewa na Mtafiti kutoka kituo cha…