Author: Jamhuri
Serikali kuanzisha vyanzo Vlvipya vya mapato kwa ajili ya kudhibiti UKIMWI na kuwezesha Bima ya Afya kwa Wote
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia , Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepanga kuanzisha vyanzo vipya vya mapato vitakavyosaidia kudhibiti maambukizi ya UKIMWI pamoja na kugharamia Bima ya Afya kwa Wote, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kujitegemea katika…
Serikali yapendekeza maboresho makubwa ya kodi, ada na tozo kuongeza mapato mwaka 2025/26
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba Madelu, amewasilisha bungeni mapendekezo ya Serikali kuhusu marekebisho ya mfumo wa kodi, ada na tozo kwa mwaka wa fedha 2025/26, kwa lengo la kuongeza mapato ya Serikali, kuboresha ukusanyaji na…
Bajeti 2025/26 kulenga miradi ya kimkakati, uchaguzi mkuu na maandalizi ya afcon
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba ametaja Vipaumbele mahsusi katika utekelezaji wa bajeti ya Serikali kuwa vitahusisha miradi ya kielelezo, kuimarisha sekta za uzalishaji, huduma za jamii, na kuboresha mazingira ya biashara. Aidha, Serikali itagharamia maandalizi ya…
Bajeti 2025/26; miradi mikubwa yathibitisha mafanikio ya awamu ya sita
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Serikali imewasilisha bajeti ya mwisho ya kipindi cha kwanza cha uongozi wa Awamu ya Sita kwa mwaka wa fedha 2025/26. Kupitia hotuba ya Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba, mafanikio makubwa ya miradi ya kimkakati yamewekwa…
Watumishi wizara ya elimu watakiwa kufanya kazi kwa weledi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma. NAIBU Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Omari Kipanga amekabidhi kituo cha huduma kwa wateja cha Wizara hiyo,huku akiwataka watumishi wa wizara hiyo kufanya kazi kwa weledi ili kushughulikia changamoto ambazo zipo katika sekta ya elimu. Kauli hiyo ameitoa…