Author: Jamhuri
Urusi yapuuza kufanya mazungumzo na Zelensky
Ikulu ya Urusi imepuuzilia mbali mazungumzo kuhusu mkutano kati ya Rais wa Urusi Vladimir Putin na Volodymyr Zelensky wa Ukraine, huku Donald Trump akitoa wito kwa viongozi hao wawili kukutana ili kujadili kumaliza vita nchini Ukraine. Shinikizo la kufanyika kwa…
Marekani, Ulaya zajadili dhamana ya ulinzi kwa Ukraine
Maafisa wa ngazi ya juu wa kijeshi kutoka Marekani na mataifa ya Ulaya wamekutana kwa mara ya kwanza mjini Washington kuandaa mipango ya utekelezaji wa mkataba wa amani kati ya Urusi na Ukraine pindi utaafikiwa. Mkutano huo umejumuisha maandalizi ya…
Msimamo wa Israel kuhusu vita haujabadilika
ISRAEL bado haijatoa majibu ya uhakika kuhusu mapendekezo mapya ya kusitisha vita kwenye Ukanda wa Gaza ambayo yaliridhiwa siku ya Jumatatu na kundi la Hamas. Vyanzo vilivyo karibu na Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu vimeyaambia mashirika kadhaa ya habari…
Soko la Mdini Mirerani lianze kufanya kazi ifikapo Septemba 15 – Sendiga
Na Mary Margwe, JamhuriMedia, Simanjiro Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amemuagiza mkandarasi aliyejenga soko la madini ya vito Tanzanite Trading centre mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro kukamilisha mradi huo ifikapo Septemba 15, Mwaka huu ili liweze kutoa…
Shani achukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Chamanzi kwa tiketi ya AAFP
Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia,Dar es Salaam Mgombea wa Jimbo Jipya la Chamanzi kwa Tiketi ya Chama cha Wakulima AAFP Shani Kitumbua amewaomba Wananchi ridhaa ya kumchagua nafasi aliyoimba kwani atakwenda kutatua kero ikiwemo kuisemea barabara ya Kilungule ambayo ni Mbovu,uchache wa…
Ndonge Mguu ndani kinyang’angiro ubunge Jimbo la Mbagala
Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam Mgombea Ubunge Jimbo la Mbagala kupitia Chama Cha Wakulima(AAFP) Ndonge Said Ndonge amesema kwamba endapo Wananchi watampa ridhaa ya kuwa Mbunge wao,atashughulikia kero zote za Mbagala ikiwemo mradi wa fremu anaodai kuwa umejengwa kwenye hifadhi…