JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tume ya utumishi yatakiwa kufanyiakazi changamoto za walimu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais ya Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene amewataka Watumishi wa Tume ya Utumishi wa Walimu kutekeleza majukumu yao ipasavyo ili kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili Walimu nchini. Ametoa kauli hiyo jijini…

Rais Samia ataka vikwazo mpakani viondolewe

Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIARais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesisitiza kuondolewa kwa vikwazo vya kibiashara hususan mnpakani mwa Tanzania na Malawi ili wananchi waweze kunufaika na biashara zao.Rais Samia ameyasema hayo kabla ya kuhitimisha ziara…

Senyamule aagiza watumishi wazembe wachukuliwe hatua za kisheria

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametaka hatua kali za kisheria zichukuliwe kwa watumishi wote ambao wamebainika kuhusika na vitendo vya ubadhirifu wa rasilimali au fedha za umma na kusababisha hoja za ukaguzi kwa uzembe. Akizungumza katika Kikao cha…

‘Serikali yaanisha mikakati ya kuvutia wawekezaji sekta ya madini’

Na Mwandishi Wetu Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa, Serikali kupitia Wizara ya Madini na Taasisi zake imeweka mikakati ya kutangaza fursa zilizopo katika Sekta ya Madini ikiwa ni pamoja na ushiriki wake katika maonesho…

Rais Samia azishauri balozi za Tanzania kuanzisha vituo vya kutoa elimu ya utamaduni wa mswahili

Na Mwandishi Wetu Zanzibar Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan amezishauri Balozi za Tanzania zinazoiwakilisha nchi kimataifa kuona haja ya kuanzisha vituo vya kutoa elimu juu ya utamaduni wa mswahili ili kukikuza na kukieneza Kiswahili…