Author: Jamhuri
COSOTA kuwanufaisha wasanii kupitia mgao wa fedha za mirabaha ya hatimiliki
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Ofisi ya Hakimiliki Tanzania (COSOTA)imesema imeandaa mgao wa mapato ya mirabaha kutokana na fedha za tozo ya Hatimiliki unategemewa kunufaisha makundi ya kazi za muziki, filamu, maandishi, sanaa za ufundi na sanaa za maonesho Kila daraja litapata…
Mgodi unaomilikiwa na wakinamama wachangia milioni 800
· Ni katika maduhuli ya Serikali · Kahama yafikia 85% ya ukusanyaji maduhuli MGODI wa Dhahabu wa Manda, unaomilikiwa na Wakinamama chini ya uenyekiti wa Asha Msangi umechangia Shilingi Milioni 800 katika maduhuli ya Serikali kwa mwaka huu wa fedha…
Tudumishe zaodi amani mwaka huu
Na Lookman Miraji Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Innocent Bashungwa amesema kuwa serikali inatambua mchango mkubwa wa jumuiya ya maridhiano ya Amani nchini(JMAT) kuwa mstari wa mbele kutangaza amani, upendo na umoja miongoni mwa wananchi wa Tanzania bila…
Gavana Tutuba: Hali ya uchumi wa Tanzania inaendelea kuimarika
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amesema kuwa, hali ya uchumi wa Tanzania imeendelea kuimarika na kuwa himilivu. Gavana Tutuba ameyasema hayo Machi, 20 2025 jijini Dar es Salaam katika…
Balile achukua fomu kutetea nafasi yake TEF, aahidi kuleta mabadiliko sekta ya habari
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri (TEF), Deodatus Balile, leo Machi 21, 2025 amechukua fomu ya kuwania uenyekiti wa jukwaa hilo na kuahidi kuleta mabadiliko katika sekta ya habari nchini. “Nilichaguliwa kipindi cha kwanza cha miaka minne na sasa nina waomba…
Ufundi stadi umepewa kipaumbele na Serikali – Dk Biteko
📌 Asisitiza kuwa, Rais Samia anajenga vyuo kila wilaya nchini 📌Apongeza utoaji wa mafunzo na ujuzi kuendana na teknolojia ya kisasa 📌Makundi maalumu kupewa kipaumbele 📌Asema VETA itakuwa msingi kwa malezi ya watoto na Vijana Na Ofisi ya Naibu Waziri…