JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mahakama Kuu yatupa maombi ya Lissu ya kupinga mashahidi kufichwa

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam Masijala ndogo imetupa maombi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu ya kupinga mashahidi kufichwa katika kesi inayomkabili ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni. Pia, mahakama hiyo…

Trump, Putin kukutana Ijumaa mjini Anchorage

Mkutano kati ya Rais Donald Trump wa Marekani na Vladimir Putin wa Urusi wa kusaka suluhisho la mzozo wa Ukraine utafanyika Ijumaa katika mji wa Anchorage jimboni Alaska. Ikulu ya White imefahamisha usiku wa kuamkia leo kuwa mkutano huo unaosubiriwa…

Wagonjwa 6, 145 wa siko seli wabainika Pwani, Mkuranga yaongoza

Na Mwamvua Mwinyi, Jamhuriedia, Pwani Mkoa wa Pwani unakadiriwa kuwa na jumla ya wagonjwa wa Siko Seli 6,145, kwa mujibu wa takwimu zilizokusanywa kupitia mahudhurio ya kliniki kati ya Januari hadi Desemba 2024, huku Wilaya ya Mkuranga ikiongoza kwa kuwa…

Serikali yalipa fidia ya milioni 999 kwa wananchi Dodoma kwa miradi ya maji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya Maji, imekamilisha zoezi la ulipaji wa fidia yenye jumla ya Shilingi Milioni 999 kwa wananchi 103 ambao ardhi yao ilitwaliwa katika maeneo ya Nzuguni, Zuzu…

Mluya wa DP aahidi kikokotoo kipya na mageuzi makubwa magerezani

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mgombea urais wa Chama cha Democratic Party (DP), Abdul Juma Mluya amekua wa 12 , leo Agosti 13, 2025, kuchukua rasmi fomu ya kugombea nafasi hiyo katika Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) jijini Dodoma,…

Watu 25 wafariki kwa kufukiwa na mgodi Shinyanga, watatu waokolewa

Na Mwandishi Wetu, Shinyanga Watu 25 wanahofiwa kufukiwa kwenye mashimo waliyokuwa wakichimba dhahabu kwenye mgodi wa Nyandolwa katika Kijiji cha Mwongozo Kata ya Mwenge Halmashauri ya Wilaya Shinyanga. Mmiliki wa mgodi huo, Fikiri Mnwagi alisema hayo wakati akitoa taarifa kwa kamati ya ulinzi wa…