Author: Jamhuri
NHC kuanza kubomoa nyumba zilizochakaa Dar,
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Shirika la Nyumba (NHC),linatarajia kuanza kubomoa nyumba zilizochakaa katika maeneo ya Kariakoo na Posta jijini Dar es Salaam pamoja na kuendeleza viwanja 40 vilivyopo mkoani humo kikiwemo cha eneo iliyokuwa klabu ya Bilicanas. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi…
Serikali yaitaka UNHCR kusaidia kuwarudisha wakimbizi wa Burundi kwao
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amezitaka Jumuiya ya Kimataifa na Washirika wa Maendeleo kusaidia mchakato wa kuwarudisha wakimbizi wa Burundi kwa hiari nchini kwao kwa kuweka sawa mazingira ya ndani ya nchi hiyo. Akizungumza katika…
Dkt.Tulia achaguliwa kuwa mwenyekiti Umoja wa Mabunge Duniani
Wajumbe wa Kundi la Kijiografia Kanda ya Afrika la Umoja wa Mabunge Duniani (African Geopolitical Group of IPU) wamemchagua Mhe. Dkt. Tulia Ackson Spika wa Bunge la Tanzania, kuwa Mwenyekiti wa Kundi hilo ambapo atahudumu kwa kipindi cha Mwaka Mmoja….
“Tuna imani na Bunge la Novemba kujadili
Maboresho Sheria ya Habari 2016′
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia UBORESHAJI wa vifungu kinzani vya sheria ya habari utaiwezesha tasnia hiyo kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kuchangia kuchochea maendeleo ya sekta hiyo na hata taifa kwa ujumla. Matumaini makubwa yatapatikana endapo muswada wa maboresho ya Sheria…