Author: Jamhuri
Mkutano wa IORA kuchochea uchumi wa buluu
Na Immaculate Makilika – MAELEZO Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax amesema kuwa mwezi Novemba 2022, Wizara yake iliratibu na kushiriki katika Mkutano wa 22 wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya…
Ripoti ya APRM kuwasilishwa kwa wakuu wa nchi na Serikali 2024
Na Immaculate Makilika – MAELEZO Serikali imeeleza kuwa Mpango wa Hiari wa Afrika wa Kujitathmini katika Masuala ya Demokrasia na Utawala Bora (APRM) nchini Tanzania imekamilisha taratibu za kuwasilisha Ripoti ya Utekelezaji wa Mpango Kazi wa APRM (2014 – 2029)…
Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam chatoa mbinu za kukabiliana na majanga ya mto
Na Mwandishi wetu Jeshi la Polisi-Dar es salaam Chuo cha Taaluma ya Polisi Dae es Salaam (DPA) kimeendelea kutoa elimu na mafunzo mbalimbali kwa maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali katika kukabiliana na majanga ya moto pindi yanapotokea. Akitoa…
Nchi za Kusini mwa Afrika kuendeleza soko la ndani la mitaji
Na Peter Haule, JamhuriMedia, Arusha Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango, Dkt. Natu El- Maamry Mwamba, amesema kuwa nchi za Kusini mwa Afrika zinaangalia namna ya kuendeleza soko la ndani la mitaji kwa kutumia Hati fungani ili kuziwezesha…





