JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TAKUKURU yapewa kibarua kuchunguza mradi wa afya Sikongwe

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tabora Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilayani Sikonge Mkoani hapa imeagizwa kufanya uchunguzi wa kina kwenye mradi wa afya Tutuo unaotekelezwa kwa fedha za serikali kiasi cha sh mil 250. Kiongozi wa Mbio za Mwenge…

EWURA yaweka utaratibu wa kuomba leseni ya biashara ya mafuta rejareja

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema kuwa inaangalia usalama wa mafuta kwa watumiaji hivyo kufanya biashara ya mafuta bila leseni ni kosa la kisheria. Imesema kuwa kanuni za uendeshaji wa biashara ya…

‘Tanzania ni tajiri wa urithi wa utamaduni’

Makumbusho ya Taifa la Tanzania inatarajia kuwa na programu maalum ya kimakumbusho yenye vionjo vya Kiswahili kama sehemu ya zao jipya la kivutio cha utalii wa utamaduni. Akizungumzia Programu hiyo ya Kimakumbusho itakayofanyika Agosti 6,2022, Kijiji Cha Makumbusho Jijini Dar…