Author: Jamhuri
Chana awataka magwiji wa malikale duniani wafanye tafiti Tanzania
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia WATAALAM wa fani ya Malikale wa Tanzania na Kimataifa wametakiwa waendelee kufanya tafiti zaidi nchini Tanzania kuibua maeneo zaidi yenye Urithi wa Masalia ya Kale ili jamii iweze kunufaika na matokeo ya tafiti zao. Wito huo umetolewa…
Mataifa nje ya Afrika yaomba kujiunga na wazalishaji almasi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Arusha Baadhi ya mataifa nje ya Afrika yameomba kujiunga kama wanachama waangalizi katika Jumuiya ya Nchi Zinazozalisha Almasi Afrika (ADPA) zikiwemo taasisi zilizobobea kwenye masuala ya madini hayo. Hayo yamebainishwa na Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko…