JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

MOI wafanya upasuaji wa kibingwa kwa wagonjwa 7113

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) kwa kipindi cha mwaka mmoja imefanikiwa kufanyia upasuaji wa kibingwa wagonjwa 7113 wa tiba ya mifupa ikiwa ni idadi kubwa ukilinganisha na wagonjwa 6793 katika mwaka uliopita huku wagonjwa wa…

Balozi Umoja wa Ulaya amtembelea Jaji Mkuu

Na Mary Gwera,JamhuriMedia BALOZI wa Umoja wa Nchi za Ulaya (EU) Tanzania, Manfredo Fanti amemtembelea Jaji Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Hamis Juma kwa lengo la kujifunza mambo mbalimbali ya utoaji haki nchini. Akizungumza na Jaji Mkuu ofisini kwake katika…

‘Kosa atakalofanya mwandishi wa habari liwe la kwake’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia IMEELEZWA kuwa kosa la mwanahabari limekuwa likichukuliwa kama kosa la taasisi ya habari na kusababisha madhara makubwa ya kufungwa kituo ama gazeti tofauti na ilivyo kwenye tasnia nyingine nchini. Hayo yamesemwa na Deodatus Balile, Mwenyekiti wa Jukwaa…

Baba ahukumiwa miaka 30 jela kwa kumrubuni binti yake

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Tabora MAHAKAMA ya hakimu mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha miaka 30 jera Masanja Shija, mkulima na mkazi wa kijiji cha Shila kata ya Isanzu Mkoa wa Tabora baada ya kupatikana na kosa la…

Mradi mkubwa wa kusafirisha umeme Tanzania-Zambia kukamilika 2025

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya IMEELEZWA kuwa, mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya kV 400 kutoka Iringa-Tanzania hadi nchini Zambia (TAZA) utaanza kutekelezwa Januari, 2023 na utakamilika Januari 2025 hali itakayopelekea kuimarika kwa upatikanaji umeme katika mikoa ya Iringa,…

Homa ya mgunda isiwe kikwazo cha kutokula nyama

Na Edward Kondela,JamhuriMedia,Dodoma SERIKALI imesema ugonjwa wa Homa ya Mgunda usiwe kikwazo cha Watanzania kutokula nyama na kwamba asilimia tisini ya nyama inayopitia kwenye machinjio rasmi iko salama. Akizungumza jijini Dodoma kupitia vyombo mbalimbali vya habari, Mkurugenzi wa Huduma za…