JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Benki ya Coop yatoa bilioni 8.5/- kwa vijana

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma BENKI ya Ushirika (Coop Benki), kwa kushirikiana na Mfuko wa Pembejeo wa Kilimo (AGITIF), imetoa mkopo wa Shilingi bilioni 8.5 kwa wakulima kupitia vyama vya ushirika, ikiwa ni hatua ya kuchochea kilimo chenye tija na…

Barabara za TARURA kufungua fursa kwa wakulima na wafugaji

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) umeeleza dhamira yake ya kuendelea kuwa kiungo muhimu katika kuwawezesha wakulima na wafugaji kufanikisha shughuli zao za kiuchumi kupitia ujenzi wa miundombinu ya barabara inayowaunganisha…

CPA Subira Mgalu amuangusha Mkenge Bagamoyo, apata kura 3,544

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Katika zoezi la kupiga kura za maoni kwa ajili ya kumpata mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Bagamoyo , kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),aliyekuwa Mbunge viti maalum mkoani Pwani, CPA Subira Mgalu ameongoza kwa kupata…

Rais Samia atoa ruzuku ya bilioni 9.4/- kwenye majiko banifu

Wakala wa Nishati Vijijini (REA) unatekeleza Mradi wa shilingi 9,400,799,626.7 wa kusambaza majiko yaliyoboreshwa maarufu kama majiko banifu 200,000 kwa bei ya ruzuku ya asilimia 80 hadi 85 kote nchini. Hayo yamesemwa Agosti 4, 2025 na mwakilishi wa REA Mkoani…

Ugonjwa wa vikope watokomezwa kwenye halmashauri 64 nchini

Na WAF, Dodoma SERIKALI kwa kushirikina na Shirika la Kimataifa la Ujerumani Hellen Keller, imewatibu wagonjwa wa vikope na kutoa tiba ya upasuaji wa mtoto wa jicho kwa watu wapatao 100,000 katika Halmashauri 64 nchini. Mganga Mkuu wa Serikali Dkt.Grace…