JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

IGP Wambura awataka askari kutenda haki

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kilimanjaro Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura amewataka askari wa Jeshi hilo kuzingatia uadilifu na kutenda haki wakati wanapo wahudumia wananchi kwa kufanya kazi kwa weledi ili kufikia malengo ya kulinda watu na mali zao….

Makamba ateta na mabalozi nchini Uingereza

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Waziri wa Nishati January Makamba amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wa nchi za Uingereza na Singapore kwa nyakati tofauti kuhusu ushirikiano baina ya nchi hizo na Tanzania kwenye maeneo mbalimbali ya sekta ya nishati. Mazungumzo hayo…

‘Maafisa wa IEBC waliharakisha tangazo la mshindi wa urais kuhofia usalama wao’

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), kupitia wakili wake George Murugu imesema kuwa ilitangaza kwa ‘haraka’ matokeo ya Urais kufuatia wasiwasi wa usalama wa wafanyikazi wake. Amesema tume hiyo ilifanya uamuzi wa kutotangaza majimbo 27 yaliyosalia licha ya kujumlishwa…

Mulamula:Tanzania kupambana na athari za mabadiliko ya tabianchi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula amesema azma ya Serikali ya Tanzania ya kupambana na athari za mabadiliko ya tabianchi iko pale pale ndio maana inaandaa inafanya jitihada mbalimbali za kuhakikisha changamoto hiyo…

RC Ruvuma azindua Baraza la Wazee

Na Albano Midelo,JamhuriMedia,Ruvuma Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas amezindua Baraza la Wazee Mkoa wa Ruvuma katika hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Songea Klabu. Akizungumza kabla ya uzinduzi huo,Kanali Thomas amesema serikali imekuwa ikitoa huduma kwa wazee kwa…