JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Watoto 64 wafanyiwa upasuaji wa moyo, Serikali yaokoa bilioni 1.6/-

Watoto 64 wenye matatizo ya moyo ya kuzaliwa nayo wamefanyiwa upasuaji katika kambi maalum ya matibabu ya siku sita iliyomalizika jana katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) iliyopo jijini Dar es Salaam. Watoto hao walikuwa na matatizo ya matundu…

Kampasi ya Chuo Kikuu Dar kujengwa Kagera

Na Mathias Canal,JamhuriMedia,Kagera Katika kuboresha huduma za upatikanaji wa elimu kwa wanafunzi nchini Serikali imepanga kujenga Kampasi ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Mkoani Kagera. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia amesema hayo mbele ya mgeni rasmi Rais…

Tanzania, Zambia zakubaliana kumaliza migomo ya madereva mpakani

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Zambia zimekubaliana kuimarisha mifumo ya utendaji kazi ili kumaliza changamoto ya migomo ya madereva katika mpaka wa Tunduma – Nakonde unaozitenganisha nchi hizo mbili. Makubaliano hayo yamefikiwa leo tarehe 14…