Author: Jamhuri
Rais Samia kuunguruma Kigoma Oktoba 16
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Kigoma Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi ya siku nne mkoani Kigoma, kuanzia tarehe 16 hadi 19 mwezi huu. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu ziara hiyo, mkuu wa mkoa wa Kigoma, Thobias Andengenye…
Majaliwa:Tutaendelea kutoa kipaumbele kwa watoto wa kike
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania itaendelea kutoa kipaumbele katika kuhakikisha wanawake na watoto wa kike wanapata huduma wezeshi zikiwemo za afya na elimu ili kuwezesha kujenga jamii yenye usawa. Amesema Serikali inatambua na itaendelea kuunga mkono jitihada…
Benki ya Dunia yaidhinishia Tanzania mkopo nafuu wa Trilioni 5
Na Benny Mwaipaja, Washington D.C Waziri wa Fedha na Mipango, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameishukuru Benki ya Dunia kwa kuitengea Tanzania jumla ya dola za Marekani bilioni 2.1 sawa na shilingi trilioni 4.9 katika mzunguko wa 20 wa IDA…
Uhalisia wa kipimo cha DNA 700,000/- hadi 800,000/-
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imetaja vipaumbele mbalimbali vya mwaka 2022/23, ikiwamo kununua mitambo na vifaa vya kisasa pamoja na kuimarisha miundombinu ya uchunguzi wa kimaabara. Hayo yameelezwa leo Oktoba 11,2022 jijini Dodoma na…





