Author: Jamhuri
NBS yaweka wazi Rais atakavyohojiwa siku ya Sensa
Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), imetangaza utaratibu ambao utatumika kuwahoji viongozi wa kitaifa wakiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan, katika Sensa ya watu na makazi, Agosti 23, mwaka huu. Taarifa iliyotolewa na Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk. Albina Chuwa,…
Nchemba aziomba taasisi za dini kumuombea Rais Samia
Na Peter Haule, JamhuriMedia,Singida Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt.Mwigulu Lameck Nchemba ameziomba taasisi za dini kuendelea kumuombea Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, ili aendelee kuiongoza nchi vizuri na kutimiza dira yake ya uwekezaji katika sekta ya uzalishaji, kutengeneza ajira,…
Wadaiwa kubakwa kwa ahadi ya kusafishwa nyota na mganga wa kienyeji
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Katavi Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi limemkamata na linamshikilia mzeee mmoja aliyefahamika kwa jina la Simbuka Makande (62), mganga wa kienyeji mkazi wa Kijiji cha Magengase Mkoa wa Tabora kwa tuhuma za kumbaka mwanamke ambaye ni mfanya…
Raila Odinga kuwasilisha kesi ya kupinga uchaguzi wa Ruto leo
JE, Mahakama ya Juu zaidi itaweka historia nyingine inapojitayarisha kusikiliza na kuamua ombi la urais la Kiongozi wa Azimio Raila Odinga? Hilo ndilo swali kuu ambalo wengi wanatafakari huku Mahakama Kuu nchini ikijiandaa kusikiliza hoja kutoka kwa kundi la mawakili…