JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dkt.Abbasi atoa maelekezo kwa BASATA

Katibu Mkuu wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi ametoa maelekezo mahususi kwa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuelekea tamasha la kihistoria la kuhamasisha Sensa kupitia Sanaa na Michezo (Sensabika). Akizungumza na Vyombo vya Habari leo Agosti 15,…

Wananchi watakiwa kutunza misitu ilete fursa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Dkt. Selemani Jafo ametoa wito kwa wananchi kuendelea kutunza misitu ili iweze kuleta fursa katika uwekezaji wa hewa ya ukaa. Ametoa wito huo leo Agosti 15, 2022 alipokutana na…

‘Kuna vifungu vya sheria vinavyowanyima usingizi waandishi wa habari’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia IMEELEZWA kuwa bado kuna vifungu vya sheria vinavyozuia uhuru wa habari na kuchangia waandishi wa habari kushindwa kutekeleza majukumu yao. Hayo yameelezwa leo Agosti 15,2022 na Mwenyekiti mstaafu wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Theophil Makunga,katika ofisi…

Wakenya watarajie kumpata rais wao leo

Matokeo ya uchaguzi Mkuu kenya huenda yakatolewa leo kama zoezi la kuhesabu kura litakamilika kutoka kwa kaunti zote. Kati ya wagombea wanne wa kiti cha urais nchini humo ni wagombea wawili wanaonyesha ushindani mkali kwa kukabana kwa idadi ya kura…