JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Majaliwa atoa rai viongozi wa dini kuombea amani

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema viongozi wa dini hawana budi kuendelea kuiombea amani Tanzania pamoja na viongozi wake kwani bila amani hata kusanyiko la kidini haliwezi kufanyika. Akinukuu Quran tukufu sura ya 2, aya ya 126 (Quran 2:126), Waziri Mkuu…

Wakala mkuu wa Odinga azuiwa kuingia Bomas

Wakala mkuu wa mgombea wa urais kwa tiketi ya Azimio la Umoja kwenye kituo cha kuhakiki na kutangaza kura za urais cha Bomas, Saitabao Kanchory jana Jumamosi Agosti 13, 2022 alizuiliwa kuingia kwenye sehemu ya kuhesabia kura (auditorium) na polisi…

Johnson Sakaja ndiye Gavana mpya wa Nairobi

John Sakaja ameibuka mshindi wa wadhfa wa ugavana wa mji mkuu wa Kenya Nairobi. Bwana Sakaja alimshinda mwenzake wa chama cha Jubilee kutoka Muungano wa Azimio Polycarp Igathe baada ya kujipatia kura 699,392. Bwana Igathe alijipatia kura 573, 516. Edwin…

Waziri Gwajima aipongeza NMB kuwajali machinga

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu, Dkt. Dorothy Gwajima ameipongeza benki ya NMB kwa kutenga fedha kwaajili ya mikopo ya machinga na pia kuweka huduma zitakazorahisisha utendaji kazi wa kundi hili la wafanyabiashara…

‘Uwepo wa sheria zinazotekelezeka kutaisaidia tasnia ya habari’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia VYOMBO vya habari vinaisaidia serikali katika kuona na kuchukua hatua, hivyo uwepo wa sheria zinazotekelezeka kunaweza kusaidia tasnia hiyo kuwa msaada mkubwa kwa serikali. Kauli hiyo ilitolewa na Salome Kitomari, Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari…

Kinana asema wanaodai urais wa Samia ni wa katiba sio wakweli

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Zanzibar Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM),Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ameweka wazi kuwa Rais Samia Suluhu Hasasan ni Rais kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na amepatikana kwa mchakato wa uchaguzi mkuu kwa kupigiwa…