Author: Jamhuri
TCU yafungua dirisha la udahili kwa waombaji Shahada ya kwanza
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imefungua dirisha la maombi ya udahili kwa waombaji wa shahada ya kwanza kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Akizungumza na waandishi wa habaru leo Julai 15, 2025 jijini…
Madini, Bomba la Mafuta na bandari vyageuza Tanga kuwa kitovu cha maendeleo
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Sekta ya madini imeendelea kuwa kichocheo kipya cha maendeleo kwa Mkoa wa Tanga, ambapo wananchi katika maeneo mbalimbali wameanza kunufaika na shughuli za utafutaji, uchimbaji na biashara ya madini. Kupitia usimamizi madhubuti wa Serikali ya Awamu…
Wagombea mtegemeeni Mungu
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Arusha Wiki iliyokwisha nimeitumia kusikiliza upepo wa siasa unavyokwenda hapa nchini. Kwa hakika kugombea iwe ubunge au udiwani ni kazi kwelikweli. Wagombea simu zao zinapokewa kila zikiita na kila ujumbe wanaujibu. Sitaki kuamini kuwa teknolojia ya…
Mradi wa Sequip wapeleka neema Geita
Na Mwandishi Wetu, Geita Kupitia Mradi wa kuboresha Ubora wa Elimu Sekondari (SEQUIP) wananchi mkoani Geita wamenufaika na miundombinu ya ujenzi wa shule mpya mbili za sekondari zitakazorahisisha upatikanaji wa huduma za elimu mkoani humo. Shule hizo ni pamoja na…
RC Sirro: Nitawapigia wahalifu walionibip
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Simon Sirro amesema atawapigia wahalifu waliombipu kutokana na kukasirishwa na kitendo cha kuteka magari kilichotokea wilayani Kibondo mwishoni mwa wiki iliyopita na kwamba hatua madhubuti zimechukuliwa kukabiliana na wale wote…
TAWA yapokea tuzo kutoka Taasisi Foundation for disabilities hope
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) imepokea Tuzo ya shukrani kutoka kwa Taasisi isiyo ya Serikali inayojulikana kama Foundation for Disabilities Hope (FDH) iliyopo Mkoani Dodoma. Akizungumza katika utoaji wa tuzo hiyo iliyofanyika Julai…





