JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mabondeni sawa, mapapa na nyangumi hapana!

Hatimaye suala la ubomoaji wa makazi ya wananchi katika bonde la Msimbazi na Mkwajuni jijini Dar es Salaam limechukua sura mpya. Tunaambiwa katika semina elekezi kwa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) iliyofanyika mjini Dodoma, wengi wao wamemgeukia Rais John…

Huduma ya Kwanza: Kula sumu

Katika sehemu ya mwisho ya makala hii tunaangalia jinsi utakavyompa mwathirika huduma ya kwanza kwa matatizo yafuatayo kabla hajatokea daktari au atakapopelekwa zahanati ama hospitali kwa tiba inayostahili …   Kula Sumu Mtu akila sumu (poisoning by mouth) anahitaji kufanyiwa…

Kwa hili sote tu wadau

Sisi Watanzania tukubali kuwa tumependelewa sana na Mwenyezi Mungu. Kwani hatukuwahi kutawaliwa kikoloni moja kwa moja na Mwingereza kama walivyokuwa majirani zetu. Wakenya wametawaliwa kama koloni la Mwingereza, Nyasaland (Malawi) kama koloni la Mwingereza, Zambia (Northern Rhodesia) kama koloni la…

Ya Lake Oil tuliyasema

Februari, 2013 tuliandika habari ambayo hatimaye Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) chini ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano, imeuthibitishia umma ilikuwa kweli. Kampuni ya Mafuta ya Lake Oil imebainika kukwepa kodi ya Sh bilioni 8.5…

Yah: Matusi, kelele nazo tunalipia kodi?

Nimeamka nikiwa najiandaa kuanza kusikiliza michango ya wabunge inayotokana na hotuba ya Rais John Magufuli, ambayo kwa aliyeisikia anaweza kudhani kwamba michango ya waheshimiwa wengine inaweza kuchafua hotuba iliyokuwa na mashiko zaidi kwa kipindi chake cha kulifungua Bunge mwaka jana….

Mapinduzi Z’bar yaenziwe

Januari 12 mwaka huu kama ilivyo kila mwaka, Visiwa vya Zanzibar vimeadhimisha Mapinduzi matukufu ya visiwa hivyo yaliyofikisha umri wa miaka 52. Mapinduzi hayo yanakumbukwa katika kuonesha nguvu ya umma inafanya kazi kuliko kitu chochote kile, pale umma unapochoshwa na…