Author: Jamhuri
Wasanii Chege na Madee wainogesha Sabasaba
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WASANII nguli wa muziki wa Bongo Fleva, Said Juma ‘Chege Chigunda’ na Hamad Ally ‘Madee’, maarufu kama Samia Kings, wameinogesha Maonesho ya 49 ya Kimataifa ya Biashara ya Dar es Salaam (Sabasaba) kwa…
Bilioni 5.7 kukamilisha ujenzi shule mbili Siha – Kilimanjaro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imetoa jumla ya shilingi Bilioni 5.7 kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari (SEQUIP) katika Wilaya…
Jenister Mhagama atajwa kuwa kinara kuwezesha mafanikio ya utalii tiba nchini
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI wa Afya, Jenista Mhagama amesema ili kufikia ndoto kamili za Tanzania kuwa kitovu cha utalii tiba kuna haja ya kuwekeza kwenye ukarimu wa wageni kama ambavyo mashirika yanayofanya vizuri hasa yaa ndege yamekuwa yakifanya….
Samia aleta mapinduzi Tabora, miradi ya Trilioni 15 yaimarisha afya, elimu na miundombinu
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Mkoa wa Tabora umetumia zaidi ya shilingi trilioni 15 kutekeleza miradi ya kimkakati katika sekta mbalimbali, tangu Serikali ya Awamu ya Sita iingie madarakani mwaka 2021 chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mkuu…
Juhudi za kuvimaliza vita vya Ukraine zaendelea
Mgogoro wa Ukraine unaendelea kuingia katika hatua ngumu, huku mashambulizi ya kijeshi yakiendelea kuathiri maisha ya raia. Wakati juhudi za kidiplomasia, misaada ya kimataifa, na msukumo wa vikwazo dhidi ya Urusi vikiendelea kuongezeka, mataifa mbalimbali yanaonesha dhamira ya kuisaidia Ukraine…
Maafisa maendeleo ya Jamii furukuteni kutoa elimu ya ununuzi wa umma wa asilimia 30 – Mdemu
Na WMJJWM – Iringa ‎Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Felister Mdemu amewataka Maafisa Maendeleo ya Jamii nchini kuboresha utendaji wao wa kazi kwa kwa kuwa sekta hiyo ni mtambuka na inagusa…





