JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Makamu wa Rais ashiriki mazishi ya Kardinali Pengo Pugu

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili katika Kanisa la Hija ya Bikira Maria – Pugu Jijini Dar es Salaam, ambapo anaungana na waombolezaji kushiriki Adhimisho la Misa Takatifu ya Mazishi ya Askofu…

Tanzania yamwagiwa sifa kwa kulinda haki za binadamu

GENEVA – Wakati mwenendo wa hali ya haki za binadamu katika baadhi ya mataifa duniani ukitajwa kuwa mbaya, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imemwagiwa sifa kuwa na mwenendo mzuri wa kushughulikia haki za binadamu. Sifa hizo zilitolewa na Kamishna Mkuu…

Serikali yaunga mkono wawekezaji mifuko mbadala

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera Serikali imesema itaendelea kuwaunga mkono na kuwatia moyo wawekezaji wa viwanda vya kuzalisha mifuko mbadala na vifungashio vyenye viwango, hatua inayosaidia jamii kuachana na mifuko ya plastiki iliyopigwa marufuku. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri…

Rock Block yachochea mapinduzi ya ujenzi Kilimanjaro

📍Rombo, Februari 28, 2026 MGODI wa Rock Block uliopo Wilayani Rombo, mkoani Kilimanjaro, umeendelea kuwa kichocheo cha mageuzi katika Sekta ya Madini ya Ujenzi kwa kuzalisha ajira 122 na kuiingizia Serikali zaidi ya Shilingi milioni 400 katika kipindi cha miaka…

Rais Alhaj Dk Mwinyi ahimiza huruma na mshikamano

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahimiza waumini wa dini ya Kiislamu wenye uwezo kuwasaidia wasio na uwezo ili nao waweze kutimiza ibada ya funga ipasavyo katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Ameyasema…