JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wakili Mpanju :Wazee ni nguzo muhimu ya maendeleo ya taifa

Na Mwandishi Wetu KATIKA kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani, Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kudumisha huduma bora kwa wazee…

Sumaye asema kaskazini mambo yatakuwa safi

Na Mwandishi Wetu,Jamhuri Media-Same Mratibu wa Kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM),Kanda ya Kaskazini, Frederick Sumaye amesema wananchi wa kanda hiyo wameahidi kufuta hali fulani ambayo ilikuwa inakisumbua chama hicho na mambo yatakuwa safi. Sumaye ametoa kauli hiyo alipopewa nafasi…

Mombo mkoani Tanga mwamwitikia Dk Samia

Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika Mombo mkoani Tanga tarehe 30 Septemba, 2025.    

TISEZA yawakaribishwa wawekezaji Kwala mkoani Pwani

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia,Pwani Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imewataka wawekwzaji wazawa na wakigeni kwenda kuwekeza katika eneo kongani la viwanda Kwala mkoani Pwani. Rai hiyo imetolewa na kaimu meneja mawasiliano kwa umma na habari…

Serikali kuchukua mashamba,viwanda visivyoendelezwa

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media-Korogwe Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ameielekeza Wizara ya Kilimo na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kufanya kazi ya kupitia mikataba ya mashamba yote ya mkonge ambayo hayaendelezwi ili yarudishwe…