Author: Jamhuri
Wataka mbio za Great Ruaha Marathon ziwe za kimataifa
Na Mwandishi Wetu Wadau wa sekta ya utalii, mazingira na maendeleo ya jamii wameitaka Serikali na mashirika ya kimataifa kuweka msukumo maalumu kuhakikisha mbio za Great Ruaha Marathon zinapandishwa hadhi na kuwa tukio la kimataifa. Hatua hiyo imeelezwa itasaidia kuitangaza…
DCEA: Wanaotangaza au kusifia matumizi ya Dawa za Kulevya kukiona
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imetoa onyo dhidi ya watu wote wanaotangaza, kuhamasisha au kusifia matumizi ya dawa za kulevya kupitia nyimbo, mavazi na njia nyingine yoyote ya…
PPRA yawahamasisha wasanii kujisajili katika mfumo wa NeST
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imewahamasisha wasanii na Watanzania kwa ujumla kujisajili kwenye mfumo wa kielektroniki wa ununuzi wa umma (NeST) ili kunufaika na zabuni za asilimia 30 zilizotengwa kwa…
Rais Samia kuhudhuria sherehe ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru Umoja wa Visiwa vya Comoro
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na Viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam leo tarehe 06 Julai 2025. Rais Dkt. Samia anasafiri kwenda Umoja…
Hamas yakaribisha mazungumzo ya kusitisha vita
Shirika la ulinzi wa raia la Gaza limetangaza kuwa operesheni za kijeshi za Israel zimesababisha vifo vya watu 32 katika Ukanda wa Gaza. Kwa mujibu wa msemaji wa shirika hilo jana, Mahmud Bassal, watu wanane wameuawa kwenye mashambulizi mawili yaliyolenga…





