Author: Jamhuri
Zanzibar yachota uzoefu Dodoma, yajiandaa kujenga mji wa Serikali Kisakasaka
Kamati ya wataalamu kutoka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Ikiingozwa na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Dkt. Islam Seif Salum imetembelea miradi mikubwa jijini Dodoma ikiwemo Mji wa Serikali Mtumba na Uwanja wa Ndege wa…
Rais Donald Trump aombwa kulinda usalama wa Ulaya
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wamemuomba rais wa Marekani Donald Trump kulinda usalama wao katika mkutano wake wa kilele na Rais wa Urusi Vladimir Putin unaotarajiwa kufanyika baadae wiki hii kujadili vita vya Ukraine. Viongozi hao wanataka kuwa na ushawishi…
Israel : Uhusiano wetu na Ujerumani umeathirika
Israel imesema mahusiano yake na Ujerumani yameathirika kutokana na uamuzi wa Berlin kuzuia kuipelekea Tel Aviv sehemu ya silaha kwa hoja kuwa zinaweza kutumika kwenye Ukanda wa Gaza. Balozi wa Israel nchini Ujerumani, Ron Prosor, alisema uamuzi wa Berlin kusimamisha…
Jeshi la Magereza Mwanza laeleza njia bora ya kuwaandaa wafungwa kuwa raia wema
Na Hellen Mtereko,Mwanza Jeshi la magereza Mkoani Mwanza limeeleza njia bora ya kuwaandaa wafungwa ili wawe raia wema uraiani ni kwa kuwajengea misingi ya stadi za kimaisha wanapokuwa magerezani. Wito huo umetolewa jana na Mkuu wa Magereza Mkoani Mwanza, Masudi…