JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Samia : Aahidi ujenzi reli mpya ya kisasa Tanga, Arusha hadi Musoma

Mgombea wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Samia Suluhu Hassan, leo ameendelea kuinadi Ilani ya chama hicho kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, huku akitangaza mpango wa kujenga reli mpya ya kisasa kutoka Tanga, Arusha hadi Musoma endapo…

Dk Samia anadi ilani ya chama Tanga Mjini

Wananchi wa Tanga Mjini walijitokeza kwa wingi kushiriki mkutano wa hadhara wa kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika tarehe 29 Septemba 2025. Katika mkutano huo, mgombea wa urais wa CCM, Dk. Samia Suluhu Hassan, aliwasilisha na…

Muheza wamwitikia kwa kishindo Dk Samia

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Ilani ya Uchaguzi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Muheza Ndugu Hamis Mwijuma ‘Mwana FA’ mara…

REA yauza majiko 1,500 kwa bei ya ruzuku kwenye maonesho ya Madini Geita

📌REA yapongezwa kwa kuuza majiko kwa bei ya ruzuku na kutoa elimu ya miradi ya wakala Ma Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita Maonesho ya Nane ya Kitaifa ya Teknolojia ya Madini mkoani Geita yamehitimishwa rasmi na Naibu Waziri Mkuu na Waziri…

Dk Samia aomba kura kwa wana Pangani

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Pangani katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi kwa CCM mkoani Tanga tarehe…