JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Matamu na machungu ya demokrasia

Nimekaa hivi karibuni kwenye kikao cha siasa kisicho rasmi na kupata fursa ya kutafakari baadhi ya masuala yaliyopo na yale yaliyopita ndani ya jamii. Nikarusha swali kwa wajumbe: “Unakumbuka enzi zile ambazo raia akiwa na pesa ambayo hawezi kuelezea ameitoa…

Lugha ya Kiswahili inawaunganisha Waafrika

Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, mwasisi wa taifa la Tanzania ndiye aliyeenzi lugha adhimu na tamu ya Kiswahili na anastahili tuzo maalum kwa kutambua umuhimu wa lugha hiyo katika kuleta umoja, mshikamano, na maendeleo ndani na nje ya…

Cosafa yaipaisha Stars

Kiwango kizuri kilichooneshwa na Taifa Stars katika mashindano ya COSAFA kwa kuifunga Bafana Bafana na kuiondoa mashindanoni, kumeisaidia kupanda katika viwango vya FIFA vya mwezi Juni mwaka huu kutoka 139 hadi 114. Stars imeshika nafasi ya 30 kwa Afrika huku…

Madini moto

Serikali imetafuna mfupa mgumu ambao umepigiwa kelele na wananchi kwa muda mrefu, kwa kupeleka bungeni miswada wa marekebisho ya sheria kuwapa Watanzania haki ya kufaidi madini yao. Sheria zinazopendekezwa kurekebishwa ni; Sheria ya Madini, Sura ya 123(The Mining Act, Cap.123),…

Polisi washiriki magendo Moshi

Askari wa Jeshi la Polisi, mgambo na baadhi ya maafisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) wanatajwa kutumiwa na genge la wafanyabiashara wa mahindi kuwezesha usafirishaji mahindi kwa njia za panya kwenda nchi jirani ya Kenya, uchunguzi wa JAMHURI umebaini….

Watanzania tushikamane

Katika toleo la leo tumechapisha taarifa zinazoonyesha kuwa Serikali imechukua hatua ya kurekebisha kasoro zilizodumu kwa takriba miaka 20 katika sekta ya madini. Serikali imepeleka bungeni miswada ya sheria tatu zenye lengo la kupitia mikataba ya sasa ya madini na…