Author: Jamhuri
Matthias Canal aongoza upatikanaji mil.85/- ujenzi wa kanisa Kiomboi – Iramba
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya WAZOHURU MEDIA Mathias Canal amewaongoza Viongozi wa dini, Wadau wa maendeleo na Waumini kwenye harambee ya ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania-KKKT Usharika wa St…
DC Kiteto awataka wananchi kuchangamkia fursa za EACOP
Na Mwandishi Wetu, JamhueiMedia, Kiteto Mkuu wa Wilaya ya Kitete Bw Remidius Emmanuel amewataka wananchi wa Wilaya hiyo kuchangamkia fursa za kiuchumi zinazotolewa na Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) zikiwemo za kusambaza bidhaa mbalimbali kwenye…
JK amhakishia Samia ushindi wa kishindo
Na Kulwa Karedia, Jamhuri Media,Kibaha Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesema mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan atapa kura zisizokuwa na mfano katika mkoa wa Pwani. Kikwete ametoa kauli hiyo leo Septemba 28 alipopewa nafasi ya kuwasiliana…
Dk Jaffo: Watanzania watamchagua Samia
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Kibaha Waziri wa Viwanda na Biashara na mgombea wa ubunge Jimbo la Kisarawe, Dk Selemani Jafo (CCM) amesema Watanzania watamchagua mgombea urais wa chama hicho, Samia Suluhu Hassan kutokana na kazi kubwa ya maendeleo aliyofanya kwa miaka…
Mashambulizi ya Israel yawaua zaidi ya Wapalestina 50
SHIRIKA la habari la Palestina WAFA limeripoti zaidi ya watu 50 wameuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na Israel tangu Jumamosi Alfajiri wengi wao wanawake na watoto. Watu 27 kati ya hao wameuawa katika jiji la Gaza. Jeshi la Israel kwa upande…
Tanzania Kyrgyzstan kuanzisha Uhusiano wa Kidiplomasia
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kyrgyzstan, Mhe. Zheenbek Kulubaev, wamesaini Tamko la Pamoja kuanzisha Uhusiano wa Kidiplomasia kati ya Jamhuri ya Muungano…