Author: Jamhuri
Mhandisi Mativila akagua miradi ya DMDP II, atoa wito utunzaji wa miundombinu
📌TARURA kujenga takribani Km. 250 za barabara Manispaa zote za Dar es Salaam‎‎Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam‎‎Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) anayeshughulikia Miundombinu, Mhandisi Rogatus Mativila, amesema Serikali…
Tanzania, Djibouti kushirikiana katika biashara ya Kaboni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tanzania kupitia Kituo cha Taifa cha Kuratibu Kaboni (NCMC) na Djibouti kupitia tasisi inayoratibu masuala ya Kaboni ya nchi hiyo ya Africa Sovereign Carbon Registry (ASCR) Foundation, zimeanza mazungumzo ya ushirikiano wa kimkakati katika biashara…
RITA yapokea madai 248 kutoka kwa wadai mbalimbali wa kampuni ya Pride
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) imepokea madai 248 kutoka kwa wadau na taasisi mbalimbali kwa iliyokuwa kampuni ya kukopesha fedha ya Pride Tanzania ili waweze kuchakata na kubaini uhalisia wa madai…
Mradi wa Sequip waendelea kuboresha elimu ya sekondari Mtwara
Na OWM – TAMISEMI,Mtwara Mkoa wa Mtwara umeendelea kupiga hatua katika kuboresha Sekta ya Elimu kufuatia utekelezaji wa Mradi wa Kuimarisha Elimu ya Sekondari (SEQUIP), unaosimamiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi…
Dkt. Mataragio: Serikali haitasita kuwachukulia hatua kali wanaoficha mafuta
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI imetoa onyo kali kwa wafanyabiashara wanaojihusisha na vitendo vya kuficha mafuta kwa lengo la kuyauza kwa bei ya juu baadaye, ikisisitiza kuwa haitasita kuchukua hatua kali kwa watakaobainika kuvuruga utaratibu wa soko….
Iran: Hatuna nia ya kufanya mazungumzo na Marekani
Iran imetupilia mbali mpango wa Marekani wa kusitisha vita huko Mashariki ya Kati huku ikiendeleza mashambulizi zaidi dhidi ya Israel na nchi za Ghuba. Tehran hata hivyo imesema inalipitia tena pendekezo hilo lakini Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran…





