JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Polisi : Tunawasaka wanaotumia mitandao ya kijamii kwa nia ovu

Jeshi la Polisi nchini Tanzania limewahakikishia Watanzania wote kuwa litaendelea kuwasaka, kuwakamata na kuwafikisha katika Mamlaka nyingine za haki Jinai wale wote ambao kupitia mitandao mbalimbali ya Kijamii wa mekuwa na tabia ya kutengeneza, kuandika na kusambaza maandishi na picha…

Samia ahimiza amani, Watanzania milioni 45 washuhudia mikutano yeke

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dodoma Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amewasisitiza Watanzania kuwa kila mmoja awe mlinzi wa amani. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Kenani Kihongosi, amesema…

Mgombea Yusufu wa AAFP aahidi kutatua ikiwemo madawati shuleni,mujenga kituo cha afya Mtongani

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es salaam Mgombea Ubunge Jimbo la Temeke kwa tiketi ya cha AAFP Yusufu Rai amewaomba Wananchi kumpa kura ifikapo Octoba 29,2025 kwa kishindo atakwenda kuwatatulia kero zinazowakabili ikiwemo kuondoa kero ya Wanafunzi kukaa chini Baadhi ya Shule…

Mikopo ya zaidi ya bilioni 27/- yatolewa kwa wanachama wa TANESCO SACCOS

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro MIKOPO ya zaidi ya shilingi bilioni 27.2 zimetolewa kwa wanachama wa Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo cha Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO SACCOS) ikiwa ni sehemu ya mafanikio makubwa tangu kuanzishwa kwake. Akizungumza…

Dk Samia kuja na mkakati wa taifa kujitosheleza na ngano, barabara

MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuja na mkakati wa kuliwezesha taifa kujitosheleza kwa ngano ikiwemo serikali kuyatwaa mashamba yaliyochukuliwa na wawekezaji bila kuyaendeleza. Pia, amewatoa hofu wakulima wa mbaazi nchini kuhusu soko…