Author: Jamhuri
Profesa Mkenda: Miaka 30 ya VETA ni kielelezo cha mafanikio ya elimu ya ufundi Stadi nchini
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema kuwa Maadhimisho ya miaka 30 ya Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ni kielelezo cha mafanikio makubwa ya serikali katika…
Salma Kikwete akemea malezi mabaya kwa watoto wa kiume
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Chalinze Mke wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne na Mbunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete, amekemea vitendo vya baadhi ya watoto wa kiume kujibadili na kuwa na tabia za kike na kuomba wazazi kusema…
Tanzania, Canada kushirikiana kwenye kukuza ujuzi wa wadau sekta ya madini
▪️Watanzania kujengewa uwezo kwenye teknolojia ya uchimbaji na uchenjuaji madini ▪️Vyuo vya VETA kutumika kutoa mafunzo maalum ▪️Canada yaipongeza Tanzania kwa kukuza sekta ya madini ▪️Mpango wa Uwezeshwaji wa Vijana na wakina mama waungwa mkono 𝐓𝐨𝐫𝐨𝐧𝐭𝐨,𝐂𝐚𝐧𝐚𝐝𝐚 Waziri wa Maendeleo ya…
Balozi Ulanga aeleza Rais Samia alivyoing’arisha NFRA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula nchini (NFRA), Balozi John Ulanga amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini Rais Dkt Samia Suluhu Hassan umechangia mafanikio makubwa wakala kufanya…
MOI yafanikiwa kuanzisha huduma 10 za kibobezi, kuokoa fedha za matibabu nje ya nchi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa, ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu (MOI) Balozi, Dkt. Mpoki Ulisubisya amesema Taasisi hiyo imefanikiwa kuanzisha huduma zaidi ya 10 za kibobezi ambazo hapo awali ziliwalazimu wagonjwa kuzifuata nje…
Majaliwa aweka jiwe la msingi ujenzi wa Bwawa la Kidinda
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 05, 2025 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa mradi wa Bwawa la Kidunga litakalokuwa na uwezo wa kuhifadhi maji lita bilioni 190 Ujenzi wa Bwawa hilo ambalo hadi kukamilika kwake litagharimu shilingi bilioni…